Beki wa Roma, Aleksandar Kolarov tayari ameingia Milan kwa ajili ya vipimo ili kukamilisha uhamisho wake kutoka Roma kuja Inter.
Nyota huyu ambaye ni raia wa Serbia, amefika Italia akirejea kutoka kuitumikia timu yake ya taifa. Kwa mujibu wa ripoti, Aleksandar Kolarov anaandaliwa kusaini mkataba wa mwaka mmoja na Inter ikiwa atafuzu vipimo vya afya.
Katika dili hili, nyota huyu atakuwa na nafasi ya kusaini tena makubaliano ya kuongeza mwaka mmoja zaidi na atakuwa ni mchezaji wa kwanza kusajiliwa na Antonio Conte kwa msimu huu.
Wakati huo, klabu ya Inter pia inatajwa kuwa inasubiri Barcelona kumalizana na Arturo Vidal katika mazungumzo ya kuvunja mkataba pale Camp Nou.
Taarifa zinasema kuwa klabu ya Inter inamuandalia Arturo Vidal mkataba wa miaka miwili, ikiwa atamalizana na Barcelona na kupeana taraka katika mkataba wa sasa.
SHINDA NA MERIDIANBET!
Tengeneza pesa kidijitali kwa kubashiri mbio za farasi hapa Meridianbet! Chagua nani ashinde, unakusanya mkwanja.
lombo
asante meridianbet kwa habar moto moto
magdalena
milan mmepata fundi
Povel
Ngoj tuone deal hlo kutakuwah done
Theckla
Watakuwa wamepata jembe
Shafii
Yuko vizur kolarov atakua sehemu kubwa ya msaada kwenye kikosi cha Milan kwa uzoefu wake aliokua nao na uwezo.
Lydia Emmanuel Magoti
Milan wapo Moto kushusha vifaa vyauwakika
Mwajumah
Millan mmepata jembe#Meridianbettz
felister
ngoja tuone makali yake
Tatu
Milan wamepata mtu wanaomtaja
Hope mwaikuka
Karibu milan
Issa
Kolarov ni safi kukipiga milan
Furahav
Hongera sana.
Salma ngende
Watakuwa wamepata jembe
aisha
Hongera sana millan mmepata jembee
Sadick
Aleksandar Kolarov namukumbuka kwa utumishi wake Man City kwa takribani miaka 7#meridianbettz
Khadija
Watakuwa wamepata jembe#meridianbettz
Amiri Kayera
Usajir mzur
Saupha mohamed
Usajili safi
Zeiyana
Inter wanajipanga hipasavyo zidi ya wapinzani wao
Rehema
Hongera sana
Sabrina
Karibu milan
Gabriel
nyota huyu atakuwa na nafasi ya kusaini tena makubaliano ya kuongeza mwaka mmoja zaidi na atakuwa ni mchezaji wa kwanza kusajiliwa na Antonio Conte kwa msimu huu
Rose kapinga
Njoo utuonyeshe maajabu!!!
Janeflora malisa
Nice
Dorophina
Milan watakuwa wamepata mchezaji mzuri sana atawasaidia
Sauda
Milan wamepata Fundi
Ernest
Aleksandar Kolarov atawasaidia Milan
Fatuma kasomo
Wamepata mtu mzuri
Elika
Fundi kapatikana
Neema
Wamepata mtu makinii sana
JULIANA WILBARD ALEX
Asante kwataharifa
Shani
Safi kujiunga na milan
Mwanahamisi
Hongera sana
Fatina mfigi
Jembe
David Pere
Yuko vizur kolarov atakua sehemu kubwa ya msaada kwenye kikosi cha Milan kwa uzoefu wake aliokua nao na uwezo.