Fonseca Kuchukua Nafasi ya Mourinho Spurs.

 

Klabu ya Tottenham ipo katika hatua ya juu ya mazungumzo na kocha wa zamani wa Roma, Paulo Fonseca kumtangaza kama kocha mpya wa klabu hiyo.

Taarifa kutoka Sky Italty zinasema Fonseca anatarajiwa kusaini mkataba wa miaka 3 lakini hakuna makubaliano katoka hilo kwa pande zote mbili.

 

Aliyekuwa mkurugenzi wa usajili wa Juventus, Fabio Paratici amehusika katika dili hilo huku akitarajiwa kutangazwa na Tottenham kama Mkurugenzi wa michezo wa klabu hiyo.

Spurs pia walijaribu kumrudisha Mauricio Pochettino katika viunga vya London kutoka PSG lakini dili hilo halikufanikiwa.

Morinho amechukua nafasi ya Paulo Fonseca Roma, wakati huo akitangazwa na Tottenham makocha hao watakua wamebadilishana nafasi zao katika vilabu hivyo.


WEKA PESA KUPITIA DUKANI MERIDIANBET!

Chukua namba yako ya akaunti na kiasi cha pesa unachotaka kuweka, sogea kwenye duka lolote la Meridianbet lililo karibu nawe utasaidiwa kuweka pesa.

Weka Pesa Meridianbet

WEKA PESA

2 Komentara

    Habari njema

    Jibu

    Habari nzuri

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.