Onana Ameondolewa Kwenya Kikosi cha Cameroon

Kipa wa Inter Milan na timu ya Taifa ya Cameroon Andre Onana ameondolewa kwenye kikosi cha Cameroon ambacho hii leo kimecheza dhidi ya Serbia kutokana na sababu za kinidhamu.

 

Onana Ameondolewa Kwenya Kikosi cha Cameroon

Onana ambaye ana miaka 26 anachukua mikoba kutoka kwa Samir Handanovic huko Inter Milan na inaonekana kuwa chaguo lao la muda mrefu katika klabu hiyo ambayo inaongozwa na Simone Inzaghi.

Onana alisajiliwa na Inter kwa uhamisho huru msimu wa joto baada ya muda wake na Ajax kumalizika na akajumuishwa kwenye kikosi taratibu, na kusalia kwenye benchi kwa mechi nane za kwanza za Serie A msimu huu.

Onana Ameondolewa Kwenya Kikosi cha Cameroon

Kama ilivyoripotiwa na RMC Sport, Onana alicheza dakika zote 90 za mchezo wa ufunguzi wa Kombe la Dunia la Cameroon dhidi ya Uswizi lakini hatacheza michezo ijayo huko Qatar kwa sababu za kinidhamu.

lKipa Devis Epassy amechukua nafasi yake kwenye kikosi cha kwanza na Onana hata hajakaa benchi kwenye pambano la Serbia huku baadhi ya taarifa zikisema ameondolewa moja kwa moja.

Onana Ameondolewa Kwenya Kikosi cha Cameroon


Je wewe hucheza Kasino Mtandaoni na umekuwa ukijiuliza ni mchezo gani rahisi na mzuri kwa ushindi? Basi Usihangaike Aviator ni rahisi zaidi kucheza na kushinda, kingine cha zaidi ni kwamba Aviator Bonanza imerudi tena Cheza zaidi ujiweke kwenye nafasi ya kushinda Samsung A23.

BONYEZA HAPA KUCHEZA

 

 

odds kubwa

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.