Fountain Gate Kukipiga Dhidi ya Namungo FC Leo

Leo hii siku ya Jumatano, Ligi kuu ya NBC Tanzania itaendelea kwa mechi moja ambapo wenyeji Fountain Gate watakipiga dhidi ya Namungo FC ambao wapo nafasi ya 4 kwenye msimamo wa ligi. 

Fountain Gate Kukipiga Dhidi ya Namungo FC Leo

Fountain Gate wao mpaka sasa wapo nafasi ya 12 wakiwa na pointi zao 11 huku mchezo huu ukiwa wa muhimu kwao kushinda siku ya leo halikadhalika kwa mgeni pia.

Tofauti yao hadi sasa ni pointi 7 pekee huku wakali wa ubashiri Meridianbet wakiipa mechi hii ODDS KUBWA kabisa hivyo ingia kwenye akaunti yako na uanze safari yako ya ubashiri hapa.

Fountain Gate mechi yao ya ligi iliyopita, walitoa suluhu, huku Namungo wao kwenye mechi zao 4 wameshinda zote hivyo endapo wakishinda na mchezo huu utakuwa ni wa tano kwao.

Meridianbet inakwambia kuwa endelea kubashiri hapa kwani ODDS KUBWA na machaguo zaidi ya 1000 yapo hapa. Ingia kwenye akaunti yako na uanze safari yako ya ushindi sasa.

Fountain Gate Kukipiga Dhidi ya Namungo FC Leo

Takwimu zinaonesha kuwa mara ya mwisho wawili hawa kukutana Fountain alipoteza hivyo siku ya leo ni muhimu kwake kushinda ili ajiweke kwenye nafasi nzuri kwenye msimamo wa ligi.

Je nani kuondoka na pointi 3 pale katika dimba la Tanzanite Kwaraa?. Ni Mgeni au ni mwenyeji?. Weka jamvi lako la ushindi siku ya leo na Meridianbet.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.