Geita Gold Yapata Alama 3 kwa Mara ya Kwanza.

Klabu ya Geita Gold leo hii, imepata alama 3 kwa mara ya kwanza msimu huu toka wapande ligi kuu ya NBC, baada ya kucheza mechi 6 kitu ambacho msimu uliopita hakikuwepo.

 

Geita Gold Yapata Alama 3 kwa Mara ya Kwanza.

Geita wamepata ushindi huo wakiwa ugenini,walipokuwa wakicheza dhidi ya Poilisi Tanzania ambapo walitangulia kupata goli la kwanza kupitia kwa George Mpole na baadae goli hilo kuja kusawazishwa katika dakika za 64.

Dakika ya 80 Geita Gold walipata adhabu ya kadi nyekundu, lakini dakika 3 baadae John akaifungia timu hiyo bao la kuongoza ambalo limeipa alama tatu na kuifanya timu hiyo ipande hadi nafasi ya 11 kwenye msimamo.

Geita Gold Yapata Alama 3 kwa Mara ya Kwanza.

Mshambuliaji wa timu hiyo ambae ni George Mpole msimu uliopita ndiye alikuwa mfungaji bora akimpita Fiston Mayele, lakini mpaka sasa ndani ya mechi sita amefunga mabao mawili.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.