Gomes : Simba ni Familia, Ubingwa ni Wetu.

Kocha wa Simba SC, Didier Gomes amesema klabu hiyo imefikia malengo yake katika mchezo wa jana dhidi ya KMC baada ya kuwafunga 2-0 katika uwanja wa Mpaka, Dar es Salaam.

 

Gomes amewapongeza wachezaji wake baada ya kuanza mchezo huo kwa kiwango cha juu baada ya kupoteza mechi iliyopita dhidi ya watani wao Yanga SC katika mechi iliyopita.

“Tumefanikiwa kutetea ubingwa, nafikiri kuwapumzisha baadhi ya wachezaji ambao wametumika zaidi na kuwapa nafasi wengine. Ligi ilikuwa ndefu na mechi zilikuwa karibu karibu na pia tunajiandaa na fainali ya FA.

Simba ni familia kuna wachezaji wananivutia sana mazoezini lakini kutokana na ukubwa wa kikosi wamekosa nafasi, Miraji Athumani, Said Ndemla ni miongoni mwao wanafanya vizuri na nafurahi kufanya nao kazi,”


KUSANYA PESA HAPA!

IcyGems kupitia Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet. Ndio, ukiwa kwenye nyumba ya mabingwa, ndipo utakapoufurahia ubora wa Kasino ya Mtandaoni sambamba na kushinda kwa ushindi mkubwa! Ishi na hii, IcyGems!Meridianbet

INGIA MCHEZONI

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.