GSM: Tunaipeleka Yanga Ligi ya Mabingwa Afrika.


Mkurugenzi uwekezaji wa kampuni ya GSM ambao ni wadhamini wa Yanga, amefunguka kuwa shabaha yao katika usajili mkubwa walioufanya msimu huu ni kuhakikisha kikosi hicho kinashiriki Ligi ya Mabingwa Afrika msimu ujao.

Akizungumza na Sports Arena [SA], Injinia Hersi [GSM] alisema:
” Tumekamilisha usajili wa Fiston, miongoni mwa washambuliaji bora zaidi katika ukanda huu wa Afrika Mashariki na kati.

 

“Sisi kama GSM Shabaha yetu katika kufanya usajili huu ni kuhakikisha tunakuwa na kikosi ambacho kitatwaa ubingwa wa Ligi Kuu msimu huu, na kupata nafasi ya Kushiriki Ligi ya Mabingwa Afrika msimu ujao.

Wakati huohuo Kocha wa Yanga, Cedric Kaze, amezungumzia usajili wa Fiston akisema:

“Fiston ni chaguo na mapendekezo yangu, kwa hiyo kuja kwake kumekuja kunogesha falsafa yangu ambayo najaribu kuitengeneza.

“Yule anajua kufunga na anajua kutengeneza nafasi za mabao, namjua vizuri na amekuja kucheza kwenye kikosi cha kwanza, hivyo wapinzani wajiandae tu.”


USHINDI UPI NI MKUBWA KWAKO, £2,000,000? 🤑

Pokea mualiko wa Meridianbet na Pragmatic Play kutengeneza mkwanja kwenye kasino ya mtandaoni sasa. Jiunge sasa kupata ishindi huu.

INGIA MCHEZONI

17 Komentara

    Wapambane Sana mpaka kufikia uko

    Jibu

    Saw tunasubilia tuone

    Jibu

    Inapendeza 👏👏

    Jibu

    Safi Sana tunatarajia owe hivyo

    Jibu

    Safi sana

    Jibu

    Watabebwa na simba tu hawa hawana mpango

    Jibu

    Habari njema kwa mashabiki wa yanga

    Jibu

    Tutaonaa

    Jibu

    safi

    Jibu

    Mhh yetu macho mashabiki

    Jibu

    Safi sana

    Jibu

    Ngoja tuone, Tatizo mpira wa Bongo siasa nyingi ndani

    Jibu

    Wape salam

    Jibu

    Utopolo tu

    Jibu

    Safii sana

    Jibu

    Vizuri sana

    Jibu

    Gsm hatutaki maneno tunataka vitendo

    Jibu

Acha ujumbe