Australian Open: Wachezaji 72 Kukaa Karantini.

Bado kumeendelea kuripotiwa visa kadhaa vya COVID19 nchini Australia. Kuelekea mashindano ya Australian Open 2021, wachezaji 72 kukaa karantini.

Hii ni baada ya kuripotiwa matokeo chanya ya vipimo vya COVID19 kutoka kwa wasafiri waliotumia ndege maalumu zilizoandaliwa na wasimamizi wa mashindano hayo.

Kati ya 72, wachezaji 25 ambao walikuwa wameshafuzu kucheza mashindano haya walikuwepo kwenye ndege iliyotoka Doha kwenda Melbourne na sasa watakaa karantini kwa siku 14.

Wachezaji wengine 47 (akiwemo Heather Watson) tayari walishaanza kukaa karantini na kumekuwa na maneno mengi ya kutopendezwa na utaratibu uliowekwa na wasimamizi wa mashindano hayo.

Taarifa kutoka Australian Open imeripoti, ” matokeo chanya ya COVID19 yameripotiwa kutoka kwa msafiri aliyeingia Melbourne akitoka Doha na ndege ya saa 11:30 alfajiri.

“Msafiri huyo sio mchezaji na hakuwa na maambukizi wakati alipokuwa anatoka Doha. Kulikuwa na wasafiri 58, 25 wakiwa ni wachezaji.”

Bingwa mara mbili [Victoria Azarenka], bingwa wa 2016 [Angelique Kerber], aliyewahi kuwa bingwa wa US Open [Sloane Stephens] na aliyewahi kuwa bingwa wa dunia [Kei Nishikori ] ni miongoni wa waliokutwa na maambukizi ya COVID19.


USHINDI UPI NI MKUBWA KWAKO, £2,000,000? 🤑

Pokea mualiko wa Meridianbet na Pragmatic Play kutengeneza mkwanja kwenye kasino ya mtandaoni sasa. Jiunge sasa kupata ishindi huu.

INGIA MCHEZONI

18 Komentara

    Duuu hii sio poa

    Jibu

    Mbona kazi ipo

    Jibu

    Duu ni shida

    Jibu

    Ilo Sasa ni balaa kubwa

    Jibu

    Hii gojwa sio poa

    Jibu

    Duuh hatari Sana corona inatishaa

    Jibu

    Hali inazidi kuwa mbaya zaidi

    Jibu

    Atali sana ugonjwa kiboko

    Jibu

    Majanga haya

    Jibu

    hivi huu ugonjwa utakujaga kuisha kweli

    Jibu

    Polen san

    Jibu

    Corona sio poa

    Jibu

    Hali tete sana

    Jibu

    Korona shida

    Jibu

    Ni jambo la hatari

    Jibu

    Duuh sio poa

    Jibu

    Mbona balaa kwa wenzetu hukoo

    Jibu

    Corona ni hatari sana

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.