Hearn : Anthony Joshua vs Tyson Fury ni Zaidi ya Ubingwa.

 


Promota nguli wa masumbwi dunia Eddie Hearn ameonya WBO kwamba pambano la masumbwi kati ya Anthony Joshua na Tyson Fury ni zaidi ya mkanda wa Ubingwa.

“Pambano kati ya Anthony na Tyson fury itakuwa pambano litakalo badili taswira ya ndondi katika kutambua ukubwa wa mchezo”, alisema promota Hearn

Niliongea [Raisi wa WBO, Paco Valcarcel] na kumwambia:’Upo katika mchezo mgumu, labda baada ya wiki mbili zijazo nitakuandikia ujumbe na kukwambia tumefanya moja kati ya pambano kubwa katika historia ya ndondi.”

 

“Sasa ni wakati muhimu kwa suala la mikanda na siasa kwa sababu hatuwezi kumudu kuzuiliwa na sheria na mahitaji ya bodi zinazosimamia,” alisema.

“Kwa mfano lazima [bingwa wa uzani wa kati wa IBF] Josh Warrington sasa ni Kid Galahad. Tayari walikuwa na vita nzuri na Warrington sasa anataka [mabingwa wengine katika uzito wake] Gary Russell Jr, Emanuel Navarrete, Can Xu.

IBF inafanya kuwa ngumu kwake kuwa na vita kubwa. Lakini mapigano makubwa ndio tunahitaji katika ndondi!” aliongeza Eddie Hearn.


MERIDIANBET INAKUPA NAFASI YA KUWA MILIONEA KWA KILA BAADA YA DAKIKA 5

Mchezo wa Keno unakupatia fursa ya kuibuka kidedea kupitia droo zinazochezwa kila baada ya dakika 5 tu!! Tunaposema Meridianbet ni nyumba ya mabingwa, tunamaanisha!!

INGIA MCHEZONI

17 Komentara

    Hawa watu ni Moto wa kuotea mbali

    Jibu

    Can’t wait for this

    Jibu

    Hili pambano litakua kubwa

    Jibu

    Litakuwa pambano kubwa sana

    Jibu

    Mtanange mzito huo

    Jibu

    Ngoja tusubiri

    Jibu

    pambano c la kitoto

    Jibu

    Pambano languvu

    Jibu

    Mtanange wa kibabe

    Jibu

    Mpambano sio wa kuukosa kabisa

    Jibu

    Mafundiii

    Jibu

    Bonge la pambano

    Jibu

    saf

    Jibu

    Nice update

    Jibu

    Ndondi umekuwa mchezo wa kusisimua sana unaovuta mamilioni ya watu kuangalia kwenye skrini zao

    Jibu

    Fury atakalishwa tu

    Jibu

    safi sana

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.