Mchezaji Isco yupo katika listi ya kocha Mikel Arteta kutua Emirates katika dirisha la mwezi january lakini ameonyesha mapenzi kwa wapinzani wao Chelsea.
Mikel Arteta anahitaji kufanya mabadiliko baada ya mwanzo mbaya na kuondolewa kwa Mesut ozil katika kikosi cha kwanza na kumsajili Isco kunaweza kuwa suluhisho.

Msimu uliopita Isco aliulizwa kuhusu kujiunga na Ligi ya EPL na uwanja gani angependa kucheza alijibu kifupi “Stamford Bridge.”
Mchezaji huyo hajawahi kukutana na Chelsea wala Arsenal katika maisha yake ya mpira akiwa na Real Madrid, kucheza kwa mkopo Arsenal kunaweza kumfanya acheze uwanjani Stamford Bridge wakati timu hizo zitakapo kutana tena May 12.
VUNA SHEA YAKO YA 230,000,000TSH NA UFURAHIE MSIMU HUU WA SIKUKUU!!!
Kupitia Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, jiwekee nafasi ya kupata shea yako ya 230,000,000Tsh kupitia mchezo wa Secret Santa. Hakika hutojutia kufurahia msimu huu wa sikukuu ukiwa katika nyumba ya mabingwa ya Meridiabet. Unasubiri nini?



Shakila mrope
Asante kwa taarifa meridian bert
Ernest Kimeru
Ukiangalia upepo kama Chelsea watamuhitaji basi lazima atajiunga na Chelsea
Caroline
Aende chelsea
warda
Aende sehemu anataka
Rahmal
Aende tu popote anapopatakq
Dorophina
Ngoja tuone mvutano huu isco ataenda wap
Tatu
Abaki hapo hapo
Angelina
Maamuzi ni yake
Rahmal
Aende tu popote anapopatakq
Mwanahamisi
Maamuzi ni yake
Lydia Emmanuel Magoti
Mamuzi yake
felister
maamuzi ni yake
Janeflora malisa
Uwamuz ni wake
Sarah
Maamuzi yake kwenda popote anapotaka
Sania
Chaguo ni lake
Magdalena
Aangalie penye faida na yeye
Hopemwaikuka
Yy tu
Issa
Isco atue chelsea
Chiku
Kazi kwake kujilipua