Lampard : Siwezi Kusahau Siku ya Leo.

 

Meneja mpya wa Everton, Frank Lampard amekiri kuwa alikuwa na siku ambayo hataisahau baada ya kufungua utawala wake Goodison Park kwa ushindi wa 4-1 wa Kombe la FA raundi ya nne dhidi ya Brentford.

 

Mabao kutoka kwa Yerry Mina, Richarlison, Mason Holgate na Andros Townsend – baada ya mkwaju wa penalti wa Ivan Toney kufanya matokeo kuwa 2-1 – yalikuwa ni ushindi mkubwa zaidi kwa kocha yeyote wa Toffees katika mechi ya kwanza.

“Ninaweza tu kuwashukuru mashabiki kwa kuniunga mkono tangu nilipotoka na bila shaka mwishoni, kuona timu ikifanya jinsi ilivyokuwa,” alisema Lampard.

“Ni siku ambayo sitaisahau, ilikuwa ya kipekee sana, na siwezi kujizuia kushikwa na hisia za hilo kwa sasa.

“Sote tunajua juu ya athari ya Goodison Park na nimeisikia kwa upande mwingine na tulitaka kutoa hiyo leo na wachezaji walifanya.

“Ninajivunia uchezaji wa leo na inanipa hamasa, lazima nitulie sasa na kufanya kazi kuelekea michezo ya ligi.” aliongeza Lampard.


VUNA MKWANJA NA KENO

Dakika tano pekee zinakutosha kuwa mmoja wa washindi wa mkwanja mrefu ndani ya kasino pendwa ya meridianbettz katika sloti maridhawa ya KENO, moja ya michezo inayoipa thamani dau lako.

tetesi, Tetesi za Soka barani Ulaya., Meridianbet

CHEZA HAPA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.