Afisa Mkuu Mtendaji wa Liverpool, Peter Moore anatazamiwa kuondoka rasmi uwanjani Anfield mwishoni mwa Agosti 2020 baada ya kuhudumu katika wadhifa huo kwa kipindi cha miaka mitatu.
Nafasi ya Moore itatwaliwa sasa na Billy Hogan ambaye kwa sasa ni mkurugenzi msimamizi na afisa mkuu wa masuala ya kibiashara kambini mwa Liverpool.

Kwa miaka mitatu iliyopita, More ameshuhudia Liverpool wakirejea katika ubora wao wa zamani kiasi cha kujinyanyulia ubingwa wa kwanza wa Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) baada ya miaka 30 ya kusubiri, ufalme wa Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) na Kombe la Dunia la FIFA.
“Haya ni mafanikio makubwa ambao tumeongozwa na kocha Jurgen Klopp, wachezaji na maafisa wetu wote katika benchi la kiufundi kupata.
Kikosi cha Liverpool kimerejesha hadhi yake ya zamani na kwa sasa ni tishio kubwa kwa mpizani yeyote barani Ulaya na duniani,” akasema Moore.
“Hizi ni kumbukumbu zitakazodumu kwangu milele. Kwa kweli tulistahiki kutamba jinsi tulivyofanya baada ya kufanya yote tuliyoyafanya!” akaongeza kinara huyo.
![]()
Hadi kutua kwake kambini Anfield, Moore ambaye atarejea kwao Amerika, aliwahi kuwa mfanyakazi wa masuala ya teknolojia katika kampuni za Sega, Microsoft, EA Sports na Reebok ambayo hutengeneza vifaa vya michezo.
“Nilikuja Liverpool mnamo 2017 baada ya kuhudumu Amerika kwa zaidi ya miaka 30. Nimekuwa na kipindi spesho sana uwanjani Anfield,” akasema Moore.
Nini kinachokupa raha kama michezo ya kasino ya mtandaoni? Hasa unapojua kuwa kuna ushindi, jackpot na mizunguko kibao ya bure.
Ungana na bwana Meridian kupata ushindi na burudani.


Magdalena
Kazi nzuri aliyofanya Liverpool
Mwajumah
Asante kwa makala
Ernest
Moore ameacha alama kubwa sana ndani ya Liverpool
Zeiyana
Moore bado hana humuimu kubwa sana Liverpool
Dorophina
Moore amefanya kazi nzuri Liverpool watamkumbuka mchango wake
Adelta
Bonge la makala
Sadick
Sifa za Mtendaji Mkuu wa Timu ni kusikiliza ushauri wa bench la ufundi na kuifanyia kazi. Pale bench la ufundi linapotaka mchezaji fulani kazi ya mtendaji mkuu ni kuwezesha hilo kufanyika. Nadhani Peter Moore ameshirikiana nae na wenzie vizuri ndio maana timu imepata mafanikio hayo#meridianbettz
Hope mwaikuka
Pole na pongez kwako
Caroline
Aende akaangalie sehemu nyingine
Lydia Emmanuel Magoti
Kazi nzuri waliyo fanya Liverpool
Furahav
Nenda tu moore.
aisha
Hongera kwa liverpool kwa kazi walioifanya
Tatu
Liverpool awanabudi kukushuru kwa hatua waliyofikia bila ww isingefika ilipo
Issa
Moore kaifanyia mazuri liverpool
Fatina mfingi
Kila la kheri unandako
Povel
Gud news
Khadija
Kila la kheri#meridianbettz
felister
kila la kheri
Gabriel
Moore ameonyesha mchango mkubwa sana Liverpool anakumbukwa sana 👍
Rehema
Kiukweli kafanya kazi mzuri Liverpool
Amiri Kayera
Atakumbukw kwa mafanikio
Tahiya
Moore ameacha historia pale Liverpool
Saupha mohamed
Moore kaifanyia hakki Liverpool
Latifa juma mohamed
Moore ameonyesha mchango mkubwa kwa Liverpool
Theonestina
Kila la kheri
Leonard
Matamani aendelee kubaki
Flomena
Hizi ni kumbukumbu zitakazodumu kwangu milele. Kwa kweli tulistahiki kutamba jinsi tulivyofanya baada ya kufanya yote tuliyoyafanya!” akaongeza kinara huyo.
Samiah
Natamani uwepo wake
Ester jackson
Peter Moore amefanya vizuri ushirikiano na wezake katika timu hiyo na kuleta mafanikio ya kupata ubigwa nafikiri ni juhudi walizotumia kwa pamoja
Genia Sikaluzwe
Makala nzuri Sana hiii
Sabrina
Moore ali fanya kazi nzuri alipokua liverpool watamkumbuka
farida ahmadi
Hongera Sana timu nzima ya Liverpool na uongozi wake pia hongera Sana Moore
Rose kapinga
Akumbukwe Moore!!!!!
Theckla
Ameacha alama kubwa Sana Liverpool
Mwanahamisi
Makala bomba
Asia Abdy
Wamuenz kwa aloyafanya
warda
Tutamleta Simba Tu.