Kiungo James Maddison wa Leicester City ametia saini mkataba mpya ambao kwa sasa utamshuhudia akipokezwa mshahara wa Sh13 bilioni mwishoni kwa wiki hadi mwaka wa 2025.
Kufaulu kwa mpango huo ni pigo kubwa kwa Manchester United waliotarajiwa kumshawishi nyota huyo mzawa wa Uingereza kujiunga nao mwishoni mwa msimu huu.

Maddison hakuwa sehemu ya kikosi cha Leicester kilichovaana Manchester United katika mechi ya mwisho ya kampeni za Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) msimu huu kutokana na jeraha la paja.
Malipo hayo yanamfanya kuwa mmoja wa wachezaji wanaolipwa mshaara mrefu zaidi uwanjani King Power.
Mshambuliaji Jamie Vardy aliyeibuka mfungaji bora wa EPL msimu huu wa 2019-20 ndiye anayelipwa mshahara wa juu zaidi klabuni Leicester City. Mchezaji huyo mzawa wa Uingereza hutia mfukoni kima cha Sh16.8 bilioni kwa wiki.

Maddison, 23, alisajiliwa rasmi na Leicester mnamo 2018 baada ya kuagana na Norwich City kwa kima cha Sh3 bilioni. Wakati huo, alitia saini mkataba wa miaka mitano.
Chini ya mkufunzi wa zamani wa Liverpool na Celtic, Brendan Rodgers, Leicester wanatazamiwa kufungua rasmi uwanja wao mpya viungani mwa mji wa Seagrave kabla ya kivumbi cha msimu ujao kung’oa nanga.
Nini kinachokupa raha kama michezo ya kasino ya mtandaoni? Hasa unapojua kuwa kuna ushindi, jackpot na mizunguko kibao ya bure.
Ungana na bwana Meridian kupata ushindi na burudani.


Ester jackson
Habari njema sana kwa mashabiki Leicester
Magdalena
Leicester city wamefanya Jambo jema kumchukua kiungo uyo
Neema juma
Kafanya maamuzii sahihii kabisa
Venerose
Wako sahihi leicester
Theckla
Pongezi kwake
Sadick
Inadhirisha Leicester inathamini mchango wake. Niliamini James Maddison msimu huu atasajiriwa na timu kubwa zaidi kutokana na mafanikio aliyoipatia Leicester City#meridianbettz
marry
ni maamuz mazur
aisha
Leicester mmefanya jambo la maana sana
Tatu
Hongera kwao
Salma ngende
Wako sahihi
mwajumah
Pongezi kwake#Meridianbettz
Isaya massawe
Madson anastahili kuongezwa mkataba maana anafanya vizuri sana
Furahav
Uko vizuri madson.
felister
hongera madson
Latifa juma mohamed
Leicester wapo sahihi kwa kweli
devotha
pongezi kwake
Fatina
Pongezi kwake
jullie
sie tunasubiri burudani
Adelta
Pongezi kwake
Gabriel
Safi
sabrina
Hongera sana kwa kuendelea kusalia Leicester
lombo
saf
Asia Abdy
Nice
Genia Sikaluzwe
Safi
Hope mwaikuka
Inapendeza
Ernest
Binafsi nilitegemea Maddison ataenda kwenye club kubwa zaidi lakini sio mbaya kusalia Leicester
Povel
Gud news
Amiri Kayera
Uwezekan kuondok ni mdg zaid
Shafii
Gud news.
JULIANA
Safi tu
Samiah
Wapo vzr leicester
tumaini
asante meridian mko vizuri kwa taarifa
farida ahmadi
Imekaa poa sana
caroline
hongera maddison cheza mpira mzuri
warda
Hongera yake#Meridianbettz
Rose kapinga
Amekubalika uyo ana kiwango
Zeiyana
Ni jambo zuri sana kwa wana Leicester city.
Omary lukumbi
Jambo zur kuendelea kubaki na kuipa nguvu kwa msimu mpya Leicester city
Dorophina
Habari njema kwa mashabiki wa Leicester city
Janeflora malisa
Nice
Fatina mfingi
Safi
David Pere
Good news
Rahma
Hongra kwao