Mamelodi Mabingwa South Africa 2020/2021.

 

JOHANNESBURG – Mamelodi Sundowns ilishinda SuperSport United 3-1 huko Loftus Versfeld jana Jumatano na kutawazwa Mabingwa wa Ligi ya PSL.

Sundowns imeshinda taji la 2020/2021 ikiwa wamebakiza michezo mitatu ya ziada. Ni taji la nne mfululizo kwa klabu huku timu hiyo ina rekodi ya kutwaa taji la 11 la PSL.

 

Mamelodi watakabidhiwa taji hilo mnamo Juni 6 2021 katika kilele cha msimu wa ndani. “Hongera nyota wetu kwa kazi ambayo wameweka kupata majina yao, tunakutakia kila la kheri.” – iliandika tovuti ya timu hiyo.

Ligi Kuu ya Soka (PSL) imetangaza walioteuliwa kwa tuzo za kumaliza msimu, na wachezaji kadhaa wa Masandawana na makocha majina yao kwenye tuzo hizo.


BONASI YA 50% KILA SIKU KATIKA KASINO ZA EVOPLAY HAPA MERIDIANBET.

Meridianbet na Evoplay Kasino wanakupa bonasi ya 50% ya kiasi utakachoweka katika akaunti yako leo. Unasubiri nini ni wakati wa kupiga pesa sasa na Mabingwa.

tuchel, Tuchel :Tuna Bahati Tottenham Wametusaidia Kazi., Meridianbet

SOMA ZAIDI

3 Komentara

    Wamefanya vizuri wanastahili pongezi

    Jibu

    Wakiingia kazin hamna wasichokijua wako kikaz sana

    Jibu

    Hongera yao

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.