Messi Aiongoza Argentina Kufuzu Kombe la Dunia 2022.

 

Staa wa Paris Saint-Germain na timu ya Taifa ya Argentina, Lionel Messi ameongoza taifa lake kufuzu kucheza fainali za Kombe la Dunia mwaka 2022 baada ya kupata sare dhidi ya Brazil.

Katika kundi hilo la nchi za Amerika kusini, Brazil na Argentina ni wazi wamefuzu kucheza michuano hiyo, wakati timu nyingine tatu zitachuana katika hatua ya mtoano.

Brazil ilikuwa timu ya kwanza kutoka Bara la America kufuzu katika michuano hiyo, wakati Messi akiiongoza Argentina hapo jana kupata sare ya tasa na kufwata nyayo hizo.

Kombe la dunia linatarajiwa kuwa na angalau timu 48 zitakazo shiriki mashindano ya 2022. Mchanganuo ufuatao utatumika kupata timu hizo kulingana na mabara husika.

AFC, Asia – Timu 4 au 5

CAF, Africa – Timu 5

CONCACAF, North, Central America na Caribbean – Timu 3 au 4

CONEMBOL, South America – Timu 4 au 5

UEFA, Europe – Timu 13


WIKI NJEMA NA CRAZY TIME CASINO!

Unasababu milioni za kucheza unavyotaka ukiwa na mabingwa meridianbet, lakini unasababu moja ya kushinda mamilioni katika kasino za mtandaoni za meridianbet. Mchezo maridhawa wa Crazy Time unakupa sababu hizo kuwa mmoja wa washindi leo hii.

 

tetesi, Tetesi za Soka Barani Ulaya., Meridianbet

CHEZA HAPA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.