Musa Ahmed Awapigia Magoti Wanigeria.


Nahodha wa timu ya Taifa ya Nigeria Ahmed Musa na kikosi kizima cha timu ya Taifa ya kimewaomba msamaha mashabiki wao baada ya kutoka sare dhidi ya Sierra Leone.

“Tulifanya makosa ya gharama kubwa, tunaomba msamaha kwa dhati na tunaahidi tutarekebisha makosa yetu na kupata ushindi nchini Sierra Leone” alisema Musa

 

Musa Ahmed Awapigia Magoti Wanigeria.

Nigeria ilitoka sare ya Goli 4-4 na sierra Leone katika harakati za kuwania kukata tiketi ya kucheza Afcon Mwakani.

Nigeria wanaongoza Group L katika michezo 3 wakiwa na alama 7, Benin nafasi ya pili alama 6, Sierra Leone nafasi ya tatu alama 2 na Lesotho akiburuza mkia kwa alama 1 baada ya michezo 3.

Ushindi wa Nigeria katika mchezo huo ungewafanya wajihakikishie nafasi ya kufuzu katika kundi hilo.


BASHIRI UKIWA MAHALI POPOTE!

Hauhitaji kuwaza linapokuja suala la ubashiri na odds kubwa. Bashiri na Meridianbet ukiwa popote ufurahie ushindi mkubwa katika michezo mbalimbali na hadi milioni 16 kwenye michezo ya kasino.

Meridianbet Beti Popote

INGIA MCHEZONI!

20 Komentara

    kukosa kushinda ni chahcu moja wapo katika soka

    Jibu

    Vizuri musa kwalicho kiombalazi kwamashabiki kutofanya vizuri lakini nimatokeo lazima ukubaliane nakila kitu akuna jinsi kaidi watafanya vizuri

    Jibu

    Inapendeza kuona mchezaji pale alipokosea anajutia kupoteza hivyo inapaswa atimize ahadi aliyoiweka ili kuweza kuwafurahisha taifa lake

    Jibu

    Kuomba msamaha ni jambo jema

    Jibu

    Next time.muwe makini.mnawaumiza mashabiki zenu

    Jibu

    Yuko sahihi

    Jibu

    Kuomba msamaha sio kosa

    Jibu

    Msamaha ni ktu kizur kwa waelewa tu

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Nice

    Jibu

    Nigeria waliuzarau sana ule mchezo mashabiki hawakutegemwa maetokea hayo kabisa

    Jibu

    Next game wanawez kufany vzr kikubwa kujipanga kwa kila mchezo

    Jibu

    Nigeria inapotea kwenye anga la soka kama nchi kwa sababu wachezaji wake kujali maslahi binafsi kuliko Taifa lao. Cameroon imekuwa ikipata mafanikio kutokana na uzalendo wa wachezaji wake kwa Taifa lao

    Jibu

    Ni sahih kuwaomba radhi na kwa timu kama sieralione na nigeria ni aibu kwa nigeria kutoka suluhu

    Jibu

    Amefanya jambo la maana sana

    Jibu

    Kusuruhu ni moja ya mchezo ila inabidi wakaze isijirudie

    Jibu

    Ametumia uungwana sana

    Jibu

    Jambo la kheri

    Jibu

    Nigeria wanajitambua sana wangekuwa timu nyingine wasingeomba msamaha

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.