Pablo : Nimefurahi Kufuzu, Tumestahili.

 

Kocha Mkuu wa Simba SC, Pablo Franco, amesema amefurahi timu kufuzu hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika kwani ndiyo yalikuwa malengo ya timu.

 

Pablo amesema waliingia na mbinu za kuhakikisha hawawapi nafasi ya kufunga mapema kwani wangewatoa mchezoni kitu ambacho walikimudu hadi dakika 10 za mwisho kuelekea mapumziko.

Pablo akizungumzia mchezo huo amesema waliwapa Red Arrows nafasi ya kumiliki mpira na kushambulia kwa kushtukiza ili kupata bao la mapema ambalo lingewawatoa mchezoni kwa kuwa walikuwa na mtaji mzuri wa mabao.

“Tulitaka kutafuta bao la mapema ambalo lingewachanganya wapinzani, mwanzoni tulipata nafasi mbili kubwa zile za Hassan Dilunga ambazo kama tungefunga tungemaliza mechi mapema.

“Lakini nimefurahi kwa matokeo haya kwa kuwa malengo yetu yalikuwa kufuzu hatua ya makundi na tumefanikiwa, tunajua mashindano haya ni magumu kadri unavyosonga mbele lakini tutajipanga ili kuendelea kufanya vizuri,” amesema Pablo.


MUDA WA KUJIACHIA NA CARNAVAL JACKPOT

Mabingwa Meridianbet hawajawahi kukuacha mnyonge hasa katika kipindi hiki cha msimu wa sikukuu, kasino maridhawa ya Carnaval Jackpot inakupa thamani ya dau lako. Kuwa mmoja wa washindi leo hii.

tetesi, Tetesi za Soka Barani Ulaya., Meridianbet

CHEZA HAPA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.