Premier League Wakubaliana Tarehe Kurejea

Kwa mujibu wa taarifa za awali, Klabu za Premier League zimekubaliana tarehe ya kurejea dimbani kuwa Juni 17.

Kwa mujibuwa wa Telegraph, baada ya kikao cha mwisho kati ya Vilabu vya Premier League leo, hatimaye timu zimekubaliana kurejea.

Mechi za awali zinazotarajiwa kuanza, kwa mujibu wa ripoti ni kati ya; Manchester United akiwa mwenyeji wa Arsenal na Sheffield United akiwa anaumana na Aston Villa, hizi ni mechi zinatotarajiwa kuchezwa tarehe 17 ambazo awali ziliahirishwa kwa sababu ya Carabao Cup kabla ya Likizo ya Corona.

Chris Wilderalishawahi kutaja kuwa alikuwa na matazamio kuwa mechi za Manchester United vs Arsenal na Shieffield vs Aston Villa zitaanza kuchezwa pale ligi inaporejea.

Tarehe kamili za mechi zote na ratiba bado hazijaamuliwa. Kwa mwenendo huu baadi ya timu za EPL zitalazimika kuendelea kucheza hadi mwezi Agosti kwa sababu Ligi ya Mabingwa na Ligi ya Europa inatarajiwa kumalizika pale michuano ya ndani ya nchi itakapomalizika.

Taarifa zinataja kuwa msimu mpya wa unatarajiwa kuanza katikati ya mwezi Septemba.

36 Komentara

    hiyo picha mliyotumia imenivutia sana degea soon tunakuona katika unora wako langoni

    Jibu

    EPL is back! … Tumpe Liverpool ubingwa wake, huku man utd naona kabisa yupo ndani ya big 4 #meridianbettz

    Jibu

    Man u top four lazima #meridianbettz

    Jibu

    Safi sana asanten meridian kwa taarifa

    Jibu

    Habar njema kwa ligi pendwa duniani premier league

    Jibu

    Woo! Ni habari nzur sana

    Jibu

    Waooo habari nzuri hizi

    Jibu

    Ni habari njema

    Jibu

    Asante kwa taarifa

    Jibu

    Hilo ndo neno tulokuwa tunalisubiria kwa hamu sana

    Jibu

    Habari njema tunaisubili kwa hamu Sanaa

    Jibu

    waoooh habari njema

    Jibu

    Mambo mazuri kwa mashabiki wa mpira

    Jibu

    Mambomazuri kwa washabiki wa mpira iko poa

    Jibu

    Iko njema

    Jibu

    EPL mpango mzima

    Jibu

    Good news kwa wapenzi wa EPL

    Jibu

    Ni habari njema sana kwa wadau wa mikeka

    Jibu

    full uhondo mambo bam bam

    Jibu

    Afadhari jamani maana tulikuwa tunapitwa na vitu vizuri.

    Jibu

    duuh siamini burudani kali kiliko zote inarudi

    Jibu

    haya kumekucha na EPL tumesubiri sana, msitupige danadana tena kwa kusogeza tarehe mbele, manchesta mko vizuriiii???????

    Jibu

    EPL zirudi tuanze kula mapesa maana n long time sana

    Jibu

    Kandanda lishaanza..!mida ya kubeti

    Jibu

    League bora kabisa Duniani inarudi na mbwembwe zake

    Jibu

    Vizuri sana#meridianbettz

    Jibu

    Wawe makini

    Jibu

    Safi kabisa

    Jibu

    Lazima wakubali wee pesa tamu bwana #Meridianbettz

    Jibu

    Bora ilejee tumpe Liverpool kombe lake

    Jibu

    Ngoja tuone kama Liver ataendeleza ubabe wake adi mwishoooo!!!

    Jibu

    Habari nzuri

    Jibu

    Tunasubir kwa hamu

    Jibu

    Hamu yangu kumuona Christian Pullisic akifanya vitu vyake ndani ya Stamford Bridge#meridianbettz

    Jibu

    Waoooo ni habar njema kwa wazeee wa mikeka na wapenda kandanda

    Jibu

    Habari nzuri

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.