Beki wa Ujerumani, Antonio Rudiger Imeripotiwa kuwa hawezi kuruhusiwa kuondoka Chelsea majira haya ya baridi endapo fikayo Tomori ataondoka kwa mkopo.
Hatma ya Rudiger kuondoka Kwa mkopo au jumla inategemea na klabu hiyo kama itamuondoa Tomori ambaye anatajwa kuondoka kwa mkopo.
Tayari vilabu vya Ujerumani na Italia (As Roma) vimetajwa kumuhitaji Rudiger majira haya ya baridi. Kwasasa mchezaji huyo anakosa nafasi ya kudumu chini ya Lampard huku mwalimu huyo akiwatamuia zaidi Thiago Silva na Kourt Zouma.
Taarifa kutoka nchini Uingereza zimethibitisha taarifa hizo huku vyanzo vya karibu na mchezaji huyo vinasema beki huyo angependa kuichezea klabu hiyo ya London.
MERIDIANBET INAKUPA NAFASI YA KUWA MILIONEA KWA KILA BAADA YA DAKIKA 5
Mchezo wa Keno unakupatia fursa ya kuibuka kidedea kupitia droo zinazochezwa kila baada ya dakika 5 tu!! Tunaposema Meridianbet ni nyumba ya mabingwa, tunamaanisha!!
Magdalena
Kwanini wanamuzuia wangemuacha afanye maamuzi yake
Issa
Rudiger chelsea panakutosha
David Pere
Tayari vilabu vya Ujerumani na Italia (As Roma) vimetajwa kumuhitaji Rudiger majira haya ya baridi. Kwasasa mchezaji huyo anakosa nafasi ya kudumu chini ya Lampard huku mwalimu huyo akiwatamuia zaidi Thiago Silva na Kourt Zouma.
Angelina
Bora abaki chelsea
felister
abakie zake tu chelsea
Lydia Emmanuel Magoti
Abaki tuuu
Hopemwaikuka
Uamuz wake
Sania
Abaki tu
Ernest Kimeru
Rudiger hana chake tena Chelsea
Dorophina
Nice update
Sarah
Abaki chelsea
Samira
Rodger chelsea hana nafasi tena
Rahmal
Abaki tu jaman
warda
safi