Milan Mazungumzoni na Mario Mandzukic

Wakurugenzi wa AC Milan, Paulo Maldini na Frederic Massara wanaripotiwa kuwa wanafanya mazungumzo na wakala wa aliyekuwa nyota wa Juventus Mario Mandzukic.

Kwa mujibu wa chapisho la Calciomercato, mkurugenzi wa ufundi Maldini na mkurugenzi wa michezo Massara wanafanya mazungumzo juu ya uwezekano wa dili la nyota huyu wa Croatia.

Taarifa zinasema kuwa klabu ya Milan inataka kumpatia kocha Stefano Pioli uwanja mpana wa mbadala wa Zlatan Ibrahimovic, na mazungumzo tayari yanaashiria hatua kubwa ya mpango wao.

Mandzukic to Milan

Taarifa nyepesi zinaainisha kuwa wakurugenzi hawa wanajaribu kukubaliana malipo na vipengele vya mkataba wa nyota huyu mwenye miaka 34 sasa.

Mandzukic aliachana na Juventus Januari mwaka jana, na akawa na mkataba wa miezi sita na Al-Duhail.

Nyota huyu tayari alishatumia miaka yake minne na nusu jijini Turin, akifanikiwa kufunga magoli 44 na kutoa assisti 17 kwenye mechi 162 alizocheza na Juventus.


MERIDIANBET INAKUPA NAFASI YA KUWA MILIONEA KWA KILA BAADA YA DAKIKA 5

Mchezo wa Keno unakupatia fursa ya kuibuka kidedea kupitia droo zinazochezwa kila baada ya dakika 5 tu!! Tunaposema Meridianbet ni nyumba ya mabingwa, tunamaanisha!!

INGIA MCHEZONI

16 Komentara

    Kila la kheri Milan

    Jibu

    Kombineshen nzur na kadabra

    Jibu

    Mandzukic aliachana na Juventus Januari mwaka jana, na akawa na mkataba wa miezi sita na Al-Duhail.

    Jibu

    Nice update

    Jibu

    Kila la kheri

    Jibu

    kila la kheri

    Jibu

    Vzur sana

    Jibu

    Sawaaa

    Jibu

    Nice

    Jibu

    Kila la kheri

    Jibu

    Itakuwa pouwa sana kama atatua Ac Milan

    Jibu

    Mario ni bora haende milan

    Jibu

    Nice

    Jibu

    Jambo zuri

    Jibu

    Safi

    Jibu

    safi sana

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.