Aliyewahi kuwa Meneja wa Simba SC, Patrick Rweyemamu, anaripotiwa kuishitaki timu hiyo mahakamani.
Akizungumza na SA Jumamosi hii, mwanasheria wake John Feka amekiri kuwepo kwa madai hayo ambayo yapo kwenye mahakama ya usuluhishi.
Amesema kuwa, jana mahakamani viongozi hao wa Simba waliomba kufikia muafaka wa sakata hilo kwa kukaa pamoja kufikia muafaka mzuri ili kulimaliza hilo.

“Kweli kesi ipo mahakama ya usuluhishi na kikubwa ipo kesi ya madai ya fedha ambazo ni siri.
“Kesi nyingine ya tuhuma ambazo amepewa mteja wangu zilitaka kumchafua kutokana na tuhuma alizopewa” amesema wakili huyo.
Rweyemamu aliondolewa Simba mwaka jana baada ya timu hiyo kupata matokeo mabaya mfululizo inaripotiwa anataka kusafishwa na kulipwa fedha ambazo anaidai timu hiyo ili wamalizane vizuri.
Anayejaribu hawezi kutoka kapa Meridianbet! Kasino ya mtandaoni ya Meridianbet inakuhakikishia ushindi mkubwa kila unapojaribu kuingia mchezoni. Washindi hushindana, ingia mchezoni!



Caroline
Pole Sana simba
Sania
Duh simba kazi
Adelta
Simba mnafeli wapi?
Venerose
Pole sana Simba msijal mambo yataenda vinzur
Khadija
Simba kazi kazi
Lydia Emmanuel Magoti
Simba ipo juuu naitakuwa sawa tuuu akuna ubishi
Magdalena
Uyu nae anataka kuichafulia Simba baada ya kuona inafanya vizuri ajikaze
Sarah
Poleni simba
Mwanahamisi
Pole sana simba
Hopemwaikuka
Dah
Dorophina
Ni vizuri bora waongee yaishe
Rahmal
Dar polen sana
samiah
Pole sana
warda
Huyu nae geza geza