Simba Kumkaribisha Mtibwa Sugar Kesho

Ligi kuu ya NBC Tanzania kuendelea hapo kesho kwa mchezo mmoja ambapo Simba SC watakuwa nyumbani kukipiga dhidi ya Mtibwa Sugar ambao wamepanda daraja msimu huu.

Simba Kumkaribisha Mtibwa Sugar Kesho

Mechi hiyo itapigwa majira ya saa 10:00 jioni katika dimbala KMC Complex huku Meridianbet wakimpa nafasi kubwa ya kuondoka na ushindi Mnyama ambao anahitaji ushindi kwenye mechi hii.

Ikumbukwe kuwa klabu hiyo hadi sasa wana kocha mpya ambaye ni Steve Barker ambao mawemuamini kukinoa kikosi hicho na kukipata makombe mengi ikiwemo yale ya nje ya Tanzania.

Simba wapo nafasi ya 5 kwenye msimamo wa ligi hadi sasa wakiwa wameshinda 4 na kupoteza mechi moja hadi sasa huku wakifanikiwa kukusanya pointi 12 hadi sasa.

Kwa upande wa Mtibwa Sugar wao wapo nafasi ya 7 kwenye msimamo wa ligi, wakikusanya pointi 10 hadi sasa huku wao pia wakiwa na uhitaji wa kushinda mechi hiyo.

Simba Kumkaribisha Mtibwa Sugar Kesho

Mara ya mwisho kukutana hawa wawili Simba waliondoka na pointi 3 zote, hivyo siku ya leo wageni wanahitaji kulipa kisasi wakiwa ugenini. Je Mnyama atakubali kupoteza pointi 3?.

Meridianbet inakwambia kuwa endelea kubashiri hapa kwani ODDS KUBWA na machaguo zaidi ya 1000 yapo hapa. Ingia kwenye akaunti yako na uanze safari yako ya ushindi sasa.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.