Simba SC Watua Morocco Kuwakabili RS Berkane.

Kikosi cha Simba SC kimewasili salama nchini Morocco jana jioni tayari kuanza maandalizi ya mchezo wa tatu wa hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya RS Berkane.

 

Simba SC imetua katika Jiji la Casablanca ambapo itaweka kambi ya siku tatu kabla ya kwenda katika mji wa Berkane ambapo mchezo wetu utafanyika.

Wachezaji, benchi la ufundi pamoja na viongozi walioambatana na timu wote wako katika hali nzuri kiafya na leo hii wanatarajia kuanza programu za mazoezi kwaajiili ya mechi inayofuata.

Mchezo huo wa Simba SC dhidi ya Berkane utapigwa Jumapili saa nne usiku kwa saa za nyumbani.


SHINDA IPHONE 12 NA KASINO YA AVIATOR

Meridianbettz na Aviator wanakupa mchongo wa kuibuka na iPhone 12 katika kasino ya Aviator itakayodumu kwa siku 7. Kuwa rubani wa Aviator na ujishindie!

tetesi, Tetesi za Soka Barani Ulaya., Meridianbet

SOMA ZAIDI HAPA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.