Tetesi zinasema Benfica imesitisha azma yake ya kumsaka mshambuliaji Edinson Cavani, 33, huku mchezaji huyo aliyekuwa Paris St-Germain akidai karibu pauni milioni 18 kwa kila msimu.
Chelsea imekuwa ikimfuatilia mlinzi wa Atletico Madrid na Uruguay Jose Gimenez, 25, huku kocha Frank Lampard akiwa anafuatilia kutatua mapungufu ya upande wa ulinzi wa kikosi chake.

Leroy Sane, 24, alionekana kuthibitisha wakati anatambulishwa Bayern Munich kwamba mchezaji mwenzake wa Ujerumani Kai Havertz, 21, ianaelekea Chelsea kutoka Bayer Leverkusen msimu huu.
Chelsea na ajenti wa Havertz wamefikia makubaliano ya kibinafsi kwa ajili ya kiungo huyo wa kati wa Leverkusen.
Brighton haina mpango wowote wa kumuuza mlinzi wa Uingereza Ben White, 22, kwa Leeds United, ambapo amekuwa kwa mkopo msimu huu.

Jesse Lingard, 27, amemtaka kiungo wa kati raia mwenzake wa Uingereza Jadon Sancho, 20, kuondoka Borussia Dortmund na kujiunga naye Manchester United msimu huu.
Tetesi za ndani zinasema Bayern Munich imesema kuwa kiungo wa kati wa Uhispania Thiago Alcantara, 29, hataruhusiwa kuondoka klabu hiyo kiurahisi baada ya kuhusishwa kuhamia Liverpool.
Valencia imesimama kidete kwa malipo inayotaka kwa winga Ferran Torres, 21, huku Manchester City ikiwa makini kumsajili mchezaji huyo wa kiamataifa wa Uhispani wa Under-21.

Klabu moja ya Serie A nchini Italia imethibitisha kwamba inafanya mazungumza ya kumsajili aliyekuwa mshambuliaji wa Manchester City na Liverpool Mario Balotelli. Mchezaji huyo wa kimataifa wa Italia, 29 anaondoka klabu yake ya sasa Brescia.
Tetesi zinasema Naibu mwenyekiti wa Manchester United Ed Woodward anafikiria kumteua mkurugenzi wa soka katika klabu hiyo msimu huu.
Sancho ni mmoja kati ya wachezaji watano ambao kocha wa Manchester United Ole Gunnar Solskjaer anataka wajiunge na kikosi chake. Hata hivyo huenda akalazimika kuuza baadhi ya wachezaji ili kupata pesa.

Mshindi wa kombe la dunia Marekani Sam Mewis, 27, anaelekea Manchester City kutoka North Carolina Courage, huku mwenzake Rose Lavelle, 25, pia akifikiria kuhamia City kutoka Washington Spirit.
Tetesi zinasema Tottenham inamfuatilia kiungo wa kati wa Roma na Italia Nicolo Zaniolo, 21, ambaye wapania kumsajili.
West Ham imempanga kiungo wa kati wa Queens Park Rangers Eberechi Eze, 22, kama mchezaji wa kwanza wanae mlenga wakati dirisha la usajili litakapofunguliwa huku Crystal Palace pia nayo ikiwa na nia ya kumsajili mchezaji huyo mwenye thamani ya pauni milioni 20.
Kwa sababu ya thamani ya pesa yako, kwa kila muamala unaofanya wa kuweka pesa kwenye akaunti yako ya Meridianbet unapata 5% bonasi.


Angelina
Goodupdate#meridianbet
mwajumah
Asante kwa makala nzuri#Meridianbettz
Mwanahamisi
Asante kwa taarifa
Ester jackson
Habari zuri zana hizi ninaamini kuwa Chelsea watamsajili Kai Havertz mapema zaidi mana timu nyingi zinamuhitaji ila kama akienda Chelsea patamfaa zaidi
Zeiyana
Dilisha la usajiri likifunguliwa kutakua hapo toshi kwa kweli
Njiku
Hii ipo poa sanaa
Magdalena
Habar njema
caroline
asnte meridianbet kwa makala hizi za kusisimua
Fatina mfingi
Makala nzur
Khadija
Habari njema#meridianbettz
Dorophina
Dirisha la usajili limepamba moto
Latifa juma mohamed
Patakuwa hapatoshi dirisha likiwa wazi
Theckla
Mambo mazuri
felister
itakua vizuri zaniolo akija spurs
Franky
Good news
Amani
Usajili wa Sancho unatija kwa man United waongeze juhudi za kumpata atawasaidia Sana# meridianbettz
Rehema
Good news
Leonard
Lampard anapaswa aimarishe kikosi chake
Rose kapinga
Soka limepamba Moto!
farida ahmadi
Lampard kocha mzuri
Lydia Emmanuel Magoti
Mambo mazuri hayo
Gabriel
Nice update 👍
Samiah
Nimambo mazuri
Ernest
Edinson Cavani, “huku mchezaji huyo aliyekuwa Paris St-Germain akidai karibu pauni milioni 18” Mambo haya hapa bongo yapo kwa wazee wa kikapu tuu lakini sikutajaria kama na ulaya yapo!!! Piga kelele kwa Simba yakeeeee
Issa
Benfica iangalie usajili huo wa cavani upya maana umri umeenda pia
Furahav
Hatari sana.
Theonestina
Asanteni meridianbet kwa taarifa
marry
nice
Hope mwaikuka
Taarifa imeeleweka
Janeflora malisa
Nice
Shafii
Makala za usajiri hua nazifurahia Sana na meridianbet.
Sadick
Arsenal, Juventus, Barcelona na Chelsea zinahitajika kununua wachezaji kuimarisha vikosi vyao#meridianbettz
lombo
GUD news
sabrina
Yani hapo dilisha likifunguliwa hakuna kulemba kusajiri wachezaji kunahusika hasa Arsenal na chelsea wanatakiwa waandae vikosi vyao vizuri
devotha
naomba dili la man united kwa sancho likamilike
Omary lukumbi
Mm bwana naomba ole gunnar asajili usajili wa maana ili man United msimu ujao tuwe moto haswa
Genia Sikaluzwe
Hatari Sana
David Pere
Ningependelea Sana Kama Man U watakamilisaha dili la Sancho kujiunga Kuna OT
warda
Habari Njema Sana#Meridianbettz
Isaya massawe
Chelsea wakimpata kiungo huyu wa Bayern Leverkusen itakua poa sana
Amiri Kayera
Habar nzur
Povel
Habar njema