Birmingham City wameamua kustaafisha namba 22 ambayo ni jezi aliyokuwa akitumia kinda wao Jude Bellingham. Kiungo huyo alikua mchezahi ghali zaidi duniani mwenye umri wa miaka 17 baada ya Borussia Dortmund kumsajili kwa Pauni Milioni 30 siku ya Jumatatu.

Jude Bellingham alicheza mchezo wake wa mwisho kwa Birmingham City Jana Jumatano wakipoteza 3-1 vs Derby Country. Bellingham ameendelea ametumia maisha yake ndani ya Birmingham baada ya kujiunga na klabu hiyo akiwa na miaka saba.
Alikuwa mchezaji mwenye umri mdogo kabisa kuitumikia klabu hiyo akiwa katika umri wa miaka 16 na siku 38 mnamo Agosti. Kwa jumla, alifunga mabao mawili na Assists Nne katika mechi 44 kwa klabu yake na Birmingham imeamua kuheshimu mafanikio yake kwa kustaafisha nambari ya jezi yake.

Lakini sio kila shabiki aliyekubali kwamba Bellingham alikuwa amefanya vya kutosha kwa klabu na kufanya jezi yake kustaafishwa. Bellingham atavaa jezi namba 22 pia huko Dortmund msimu ujao baada kukataa ofa ya Manchester United ili ajiunge nao.
Kwa sababu ya thamani ya pesa yako, kwa kila muamala unaofanya wa kuweka pesa kwenye akaunti yako ya Meridianbet unapata 5% bonasi.


Angelina
Goodupdate#meridianbet
Adelta
Asante kwa makala nzuri
mwajumah
Asante kwa taarifa#Meridianbettz
Zeiyana
Wenzetu mpira kwao umekua na nafasi kubwa sana Jude Bellingham amekua akionesha kipaji chake toka akiwa na mri wa miaka saba
Njiku
Hii ipo poa sana
Mwanahamisi
iko poa sana
Magdalena
Inapendeza Sana
aisha
Imekaa vizuri sana
caroline
aisee nimeipenda sana hii
Ester jackson
Kwa kweli kipaji cha Moira kinaheshimika sana kijana anaumri mdogo sana analipa hela nyingi sana kwa uwezo aliokuwa nao wakujituma inavuyia sana
Khadija
Asante kwa makala#meridianbettz
Tatu
Jude Bellingham ni mchezaji mwenye umri mdogo sana na kipaji chake kilioneka akiwa bado mdogo anaujua mpira na kujituma sana
Theckla
Habari njema
Leonard
Ni jambo la heshima kwake
Dorophina
Ni jambo zuri kufanya ivyo Ni heshima wamempa
felister
safi
Amani
Me naona sisawa maana bado Kuna wachezaji wadogo na wazuri wanao chupukia so wakitokea wata staffisha number ngapi#meridianbettz
Rehema
Eeeeh bwana nimeipenda sana
Rose kapinga
Hii nzuri,
farida ahmadi
Imekaa vzr sana
Fatina mfingi
Iko powah
Gabriel
Dortmund lilikuwa chaguo la kwanza kwa Bellingham kulinganisha na timu nyingine hasa za England ambazo zilikuwa zimeonyesha nia ya kumhitaji kama Manchester United na Manchester City.
Pengine matamanio hayo yanakuja katika kipindi ambacho Borrusia Dortmund wametengeneza majina mengi ya vijana kama Christian Pulisc na Jadon Sancho katika misimu ya karibuni
Samiah
Iko vzr
Ernest
Ingekuwa vizuri zaidi kama angekabidhiwa mtu mwingine huenda angejituma zaidi ili na yeye aweze kupata mafanikio zaidi
Fatuma kasomo
Iko poa
Issa
Borussia imepata bonge la mchezaji umri bado unamruhusu sana kwa kukiputa
Furahav
Hongera kijana.
Theonestina
Kijana Yuko vizur Sana.hongera yake
Hope mwaikuka
Gud
Janeflora malisa
Nice
Shafii
Ni jambo zuri.
Sadick
Dortmund imekuwa timu inayotengeza vipaji vingi na kwabahati mbaya huchuliwa na timu kubwa. Endapo Jude Bellingham atapata nafasi ya kucheza atapata mafanikio #meridianbettz
Saupha mohamed
Goof news
Johnmary joel
Habari nzuri#meridianbett
Zuhura omary kindamba
Hii ni Habali njema
lombo
asante meridianbet kwa habar moto moto
sabrina
Nimeipenda hiyoo
devotha
asante kwa makala nzuri
Omary lukumbi
Hiyo imekaa poa sana
Genia Sikaluzwe
Hii poa Sana
David Pere
Wamwfanya haraka Sana kusitafisha jezi yake inama huko mbeleni Kama atarudi hatawwza kuivaa tena
warda
Wawooo Hadi raha#Meridianbettz
Isaya massawe
Dortmund wamepata mchezaj mzuri
Amiri Kayera
Wamempa heshim kubw ambay cjui km kastaili
Povel
Gud update