Tottenham Kuvaana Na Shkendija Europa League.


Kocha Jose Mourinho wa Tottenham Hotspur amesema sasa ameanza kuamini ukubwa wa uwezo wa Tanguy Ndombele baada ya Mfaransa huyo kufunga bao la dakika ya mwisho lililowasaidia kuwaondoa Lokomotiv Plovdiv ya Bulgaria kwenye Europa League.

Tottenham waliponea chupuchupu kuenguliwa mapema kwenye kipute hicho kilichoshuhudia Lokomotiv ya Bulgaria wakisalia kutegemea wachezaji tisa pekee baada ya Lima Almeida na Birsent Karagaren kuonyeshwa kadi nyekundu katika dakika za 78 na 79 mtawalia.

 

Tottenham Kuvaana Na Shkendija Europa League.

Georgi Minchev aliwaweka Lokomotiv Plovdiv kifua mbele kunako dakika ya 72 kabla ya Harry Kane kusawazisha mambo katika dakika ya 80 na Ndombele kufunga bao la ushindi dakika tano kabla ya kipenga cha kuashiria mwisho wa mechi kupulizwa.

Ndombele, 22, alisajiliwa na Tottenham kutoka Olympique Lyon ya Ufaransa kwa kima cha Sh7.5 bilioni mnamo Agosti 2019. Tangu wakati huo, sogora huyo alikuwa amewajibishwa katika mechi 17 pekee kwenye mashindano yote ya msimu wa 2019-20 kutokana na wepesi wa kupata majeraha na kushtumiwa na kocha Mourinho.

“Tanguy anaanza kuimarika. Nimeanza sasa kuamini uwezo wake,” akasema Mourinho ambaye mnamo Machi 2020, alitaka kiungo huyo “kujituma zaidi”.

 

Tottenham Kuvaana Na Shkendija Europa League.

“Ushawishi wake uwanjani haukuonekana kabisa msimu jana. Lakini kwa sasa amejitambua na anajitahidi sana hata mazoezini. Amepona jeraha na bao alilofunga litampa msukumo zaidi wa kupatamatokeo ya kuridhisha,” akasema.

Kutokana na ushindi wa Tottenham, Mourinho kwa sasa anajiandaa kuongoza kikosi chake kuvaana na Shkendija ya Macedonia mnamo Alhamisi ya Septemba 24 katika mechi ya raundi ya tatu ya mchujo wa Europa League.

Kabla ya hapo, Tottenham watapepetana na Southampton kwenye Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) mnamo Septemba 20 kisha kuchuana na Leyton Orient katika mchezo wa EFL Cup mnamo Septemba 22, 2020.

 

Tottenham Kuvaana Na Shkendija Europa League.

Iwapo wataibuka washindi wa mechi mbili za EFL na Europa League, basi Tottenham watasakata tena michuano mitatu chini ya siku saba wiki inayofuatia baada ya Septemba 27, 2020.


SHINDA NA MERIDIANBET!

Tengeneza pesa kidijitali kwa kubashiri mbio za farasi hapa Meridianbet! Chagua nani ashinde, unakusanya mkwanja.

Cheza Sasa.

42 Komentara

    Mtanange watarii huo

    Jibu

    Nafax ya Tottenham kosonga mbele

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Tottenham wapambane wawez kurudi kwenye hadh yake

    Jibu

    spurs nina imani watakuwa wamejipanga vyema

    Jibu

    Mh kazi itakuwepo apo mana mtanange utakua wa atari huo#Meridianbettz

    Jibu

    Hapatoshi

    Jibu

    Tottenham Yuko vizuri@meridianbettz

    Jibu

    Leo apatoshi

    Jibu

    Tottenham ushindi

    Jibu

    Tottenham Hotspur ndo nafas yao nzur kuongeza point wakijisahau watashuka

    Jibu

    Mambo ni motoo

    Jibu

    Mda wao Tottenham kufanya maajabu ili kujipatia point waweze kusonga mbele zaid

    Jibu

    mourihno kwa sasa inabidi apambane ili aweze kushinda

    Jibu

    Leo hapatoshi

    Jibu

    Ki ukweli Mourinho bado anakazi kubwa sana kukijenga kikosi cha Spurs ingawa tayari tunaona Spurs wanawachezaji wazuri sana

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Kwa kikosi cha spurs sio cha kutoa sare au kufungwa

    Jibu

    Kaz kazin

    Jibu

    Ndombele ni mchezaji mzuri tatizo hakuwa anapata muda wa kutosha wa kucheza#meridianbettz

    Jibu

    Tottenham wakaze wasikubali kushuka kiwango

    Jibu

    Kazi ipo

    Jibu

    Kivumbi cha sika

    Jibu

    Mda wake mourinho wakufukia makosa yake

    Jibu

    Leo hapatoshi

    Jibu

    Tottenham kazi wanayo inabidi wapambane sana

    Jibu

    Utakuwa mtanange wa kufa mtu#meridianbettz

    Jibu

    Totenham inabid wafanye vizur kwakuw ni
    Mashindano hayo makubwa yaliyobak kwaoi

    Jibu

    Leo patamu

    Jibu

    Kazi ipoo

    Jibu

    Itakua hatarii

    Jibu

    Safi Sana

    Jibu

    Habar njm

    Jibu

    Spurs inabid wapambane kwl msimu huu

    Jibu

    🔥

    Jibu

    👏👏

    Jibu

    Patanogaaa hatare

    Jibu

    Patanoga.

    Jibu

    Tanguy anaanza kuimarika. Nimeanza sasa kuamini uwezo wake,” akasema Mourinho ambaye mnamo Machi 2020, alitaka kiungo huyo “kujituma zaidi”.

    Jibu

    safi sana

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.