Gerad(42) Alalamikia Uamuzi wa Refa

Kocha mkuu wa klabu ya Aston Villa Steven Gerad alalamikia maamuzi ambayo refa wa mchezo huyo  ameyafanya baada ya kupuliza filimbi na kukataa goli lao ambalo Philipe Coutinho alifunga kitu ambacho kingefanya waondoke na alama tatu.

 

Gerad Alalamikia Uamuzi wa Refa

Gerad amesema hayo akihojiwa na Skysport baada ya kumalizika kwa mchezo wao waliokuwa wakicheza jana wamzunguko wa sita ambapo walikuwa wakimkaribisha Manchester City na mchezo huo kumalizika kwa sare ya 1-1.

Aston Villa mpaka sasa wameshinda mchezo mmoja tuu wa ligi kuu na wamepoteza michezo minne kitu ambacho kinawafanya wawe katika nafasi ya pili kushuka chini. Gerad anasema Goli ambalo lilifungwa na mchezaji wake lilikuwa goli halali kabisa huenda refa hakuwa sawa kwenye kutoa maamuzi.

Gerad Alalamikia Uamuzi wa Refa

Kwa usajili ambao wamefanya Villa unaweza kuongeza kitu katika timu yao na huenda wakikaa kwa muda wanaweza kuwa na muunganiko mzuri au wakicheza kwa kujituma na juhudi wanaweza wakamaliza katika nafasi nzuri msimu huu.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.