Nilimuogopa Ferguson kama Baba - Nani

Nani ameeleza uhusiano wake na Sir Alex Ferguson, na amekiri alikuwa akimuogopa kocha huyo wa Manchester United katika kipindi cha mwanzo akiwa Old Trafford.

Mchezaji wa zamani Ureno ambae alisajiliwa United na Sir Alex kutoka Sporting Lisbon mwaka 2007 kwa £23m, alifunga magoli 40 na assist 73 katika michezo 230 kwa kipindi chote cha miaka nane aliyokuwa Old Trafford.

Alisema: “Mwazoni, nilimuogopa sana, kama baba, ukifanya kosa.

“Lakini nilimuogopa hadi nilipojifunza kumuelewa na kuweza kujieleza vizuri.

“Kingereza changu hakikuwa sawa wakati huo ukilinganisha na sasa, na baada ya kukifahamu vizuri, alianza kunisikiliza.

“Na kutoka hapo, nilijifunza vingi kutoka kwa Sir Alex Ferguson. Nini alitaka kufanya, alikuwa nani na mahusiano yetu yalikuwa bora.”

Nani and Sir Alex lifting the Premier League trophy in 2013
Nani na Sir Alex wakishikilia Taji la Premier League mwaka 2013
Nani aelezea alivyokuwa akisafiri pamoja na Sir Alex.

“Alikuwa jirani yangu na tulitumia treni kwenda London,” Nani alisema.

“Mke wake au familia yake ilikuwa ikimuacha kituo cha treni kwahiyo wakati wa kurejea nyumbani hakuwa na dereva wakumrudisha kwahiyo alikuwa akitafuta mtu anayeishi nae karibu kupeleka.e.

“Kwahiyo nikasema, ‘Sawa boss, Nitakupeleka nyumbani. Lakini siku niliyompeleka nyumbani ilikuwa siku tulicheza mechi dhidi ya Fulham ugenini na nilikuwa benchi.

“Ferguson ni mtu aliyekuwa na uwezo wa kuongoza watu wenye sifa tofauti, umri tofauti na tabia tofauti.

“Tabia yangu wakati huo, nilikuwa mdogo na haikuwa rahisi, nafahamu hilo, nmejifunza vingi na alinibadilisha. Haya ndio maisha, lazima ujifunze.”

21 Komentara

    Good news 👍@# meridianBetTZ

    Jibu

    heshima n kitu kzur sana

    Jibu

    Ni moja Kati ya makocha Bora waliomalzah kwa muda wao kwa mafanikio makubwa so ikiwah chn yake ni Kama baba mlezi thanks meridian bet tz#

    Jibu

    ahsanteni meridian bet kwa taarifa

    Jibu

    Waooh inapendeza sana

    Jibu

    👍

    Jibu

    Kwa mchezaji yeyote lazima uwe na heshima kwa kocha wako.

    Jibu

    Heshima kwanza

    Jibu

    Vzr

    Jibu

    Safi sana Nani, Hivyo ndivyo professional anatakiwa awe haswa kwa kocha wake.

    Jibu

    Inapendenda sana mchezaji kumuheshimu kocha wake

    Jibu

    Umefanya vizuri sana Nani kwa kuheshimu sir Alex kama baba kwako ,heshima ni siraha .

    Jibu

    Vizuri sana #meridianbettz

    Jibu

    Mwalimu ni km mzazi ukihitaji mafanikio katika Jambo lako ni lazima uwaheshimu watu hawa nakufata ushauri unaopewa

    Jibu

    We call him the boss fargie

    Jibu

    Safi.angebaki man utd angekuja kuwa Kama cr7 #meridianbettz

    Jibu

    Kocha bora kwangu wa kipindi chote nashabikia mpira akifuatiwa na Klopp

    Jibu

    Fagason alikua mkali Sana kwa wachezaji ote alikua anaishi nao Kama watoto wake

    Jibu

    Heshima ni kitu kizuri sana hasa ukijielewa

    Jibu

    Heshima kwanza

    Jibu

    Safi sana heshima inanguvu mno

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.