Klabu ya Arsenal imempa Piere-Emerick Aubameyang ofa ya Kusaini mkataba mpya katika kujaribu kuzuia ofa kutoka kwa Paris Saint-Germain. Aubameyang ndiye Nahodha na mfungaji bora wa The Gunners, lakini hatma yake imejaa na sintofahamu.

Mkataba wa Nahodha huyo wa Gabon mwenye umri wa miaka 30 unamalizika mwaka ujao na kocha wa The Gunners, Mikel Arteta ana hamu ya kumbakiza Emirates nyota huyo. Msimu huu wa Joto wameripitiwa PSG kuwa ipo tayari kulipa pauni milioni 45 kumnasa nyota huyo mwenye asili ya Gabonili awe mbadala katika harakati zao za kuziba nafasi ya Edinson Cavani ambaye ni dhahiri ataachana na Mabingwa hao wa Ufaransa na kwenda kuhudumu katika vilabu vingine.
Ripoti ya ya L’Equipe inasema kuwa Arsenal wamewasilisha ofa kwa Aubameyang ili atie saini na kubakiza hatma yake kwenye klabu mwa misimu zaidi. Mshambuliaji huyo amefunga mabao 61 katika michezo 97 tu tangu ajiunge na Arsenal kwa pauni milioni 56 kutoka Borussia Dortmund mnamo Januari 2018


Devotha
Kubali kusaini na uendelee kubaki arsenal usiondoke
Rehema Dickson
Aubameyang ndiye Nahodha na mfungaji bora wa Arsenal abaki tu ndo panamfaa
Salma
Kama atapewa pesa ndefu abaki hapo hapo
Hope mwaikuka
Asain tu mbona sehemu salama tu hyo
Evaluziga
Kubali kusain ili uendelee kubaki asernal
Mwanaidi
Huo ni uamuzi wake ila ni vyema kama angeendelea kubaki Arsenal na kutimkia huko PSG
Sadick
Arsenal ilitaraji kupata huduma yake kwa muda mrefu na kwa mafanikio lkn naona Auba ana mipango tofauti. Ni vizuri abaki kusaidia timu#meridianbettz
Mariam mtandama
Duuuh
felister
ayo ni maamuzi yake aangalie wapi kuna manufaa kwake Kama ni apo arsenal abaki
Juliana
Mmmmh! Bora akajaribu PSG
Antony Luseno
Abaki tu arsenal kwenda PSG ni changamoto kwake
Neema hassan
Aende2 umri umeshaenda#meridianbettz
Ester jackson
Daaah akibaki arsenal nitamuona bogaz aondoke tu
Adelta
Piere Emerick akubali hiyo ofa asaini
Mkataba abaki arsenal
Neema juma
Kwa ushauri wangu abaki tu
Samiah
Duuuh
Warda
Abaki jamani #Meridianbettz
Theckla
Klabu yake inahitaji zaidi mchango wake ni vyema akaendelea tu ili kuisaidia
Isaya massawe
Arsenal yenyewe ishafeli afadhali aondoke
Ester mmakasa
Kokote aende uwamuzi ni wakwake.
Furahav
Acha kuangaika bakia hapo upambane.
winfrida
kama anataka mafanikio abadilishe mazingira maana EPL kwake haijakaa poa msimu huu
Emmy cleopa
Me naona habaki tu
Frank Patrick
Pesa itaongea tu hapo umri huo ukihitajika na team ya kiboss kama hiyo unaenda tu kuutengeneza uboss wako
Elika
Bora abakie hapo kwenye club yake ya arsenal
aisha
Piere emerick abaki tuu mbona yuko.vizuri
David pere
Kule Ndio kunamfaa kwanza Ndio mitaa aliyokulia kwahiyo hakumpi shida sanaa
Shafii
Maamuzi yako kwake mwenyewe kubaki au kutembea
David pere
Afanye maamuzi yaliyokuwa sahihi Kama abakie Arsenal au sense PSG
Lydia Emmanuel Magoti
Kokote kambi yeye anaangali pesa Kama pesa hinaluusu anatua kokote kule
Asia Abdy
Abaki Arsenal bdo anahitajika
amani
Aubameyang ndiye Nahodha na mfungaji bora wa The Gunners, lakini hatma yake imejaa na sintofahamu.kubwa ila me ushauli wangu ni bora akatimkia psg kuliko kubaki
Genia Sikaluzwe
Aende tu uwenda kukawa na masirahi huko
Caroline
Abaki arsenal..
Magdalena
Aende tu PSG arsenal wamefulia Sasa hivi hawana jipya
Gabriel
Abak tu arsenal kutokana na kipindi hiki kigumu
Povel
Haende akatafute changamoto mpya za maisha ya soka
dorophina
Abaki tu arsenal mpaka dau liongezeke
Mwajuma
Atimkie tu PSG akavae medali za ubingwa
Aziza mushi
Abaki tu Arsenal jamni
Kenani
Bora atoke akapambane tu kweny club zingine akuze jina
Mwanahamisi
Abaki arsenal
Ernest
Itakuwa ngumu kwa Aubameyang kusalia Arsenal
Zeiyana
Bola asepe tu arsenal akuna inshu..!PSG ndio mpango mzima
mwakalosi
psg kutakuwa kugumu kule maana kuna strike nyingi tena zinafanya vizur tu abaki au atafute timu nyingine
Hamidu
Mchezaji mzuri! Aende tu akatafute changamoto nyingine.kwa PSG watakuwa wamefanya usajili mzuri
Tahiya
Bdo unaitajik Arsenal
Rehema
Ni Bora abaki arsenal Hadi mkwanja uwogezeke
Agness
Abaki tuu asiondoke