Messi alishamwambia Guardiola Anaondoka.


Lionel Messi alimwambia mwalimu wake wa zamani, kocha wa Manchester City Pep Guardiola, wiki iliyopita kuwa alinuia kuondoka Barcelona, kwa mujibu wa toleo la Ijumaa la gazeti la Uingereza la The Times.

Guardiola, ambaye alikuwa bosi wa Messi kwa miaka minne Camp Nou, alimwambia mchezaji huyo kuwa atazungumza na wamiliki wa City kuhusu uwezekano wa kumsaini, imesema ripoti hiyo.

 

Messi alishamwabia Guardiola Anaondoka.

Tovuti za Goal na Spox ziliripoti Alhamis kuwa mawasiliano ya simu yalifanyika kati ya Messi na Guardiola. The Times imesema hii ni ishara zaidi kuwa City wapo katika nafasi ya kwanza kumsaini mchezaji huyo anayetafutwa sana mwenye umri wa miaka 33.

Afisa Mkuu Mtendaji wa City Ferran Soriano tayari yuko Catalonia, ambako anatarajia kuzungumza na baba wa Messi, Jorge, katika wiki ijayo, imesema ripoti hiyo.

Lionel alicheza chini ya Guardiola kuanzia 2008 hadi 2012. Wawili hao walishinda pamoja Makombe mawili ya Ligi ya Mabingwa, miongoni mwa mataji mengine mengi.

 

Messi alishamwabia Guardiola Anaondoka.

Messi amewasilisha nakala kwa Barcelona akieleza kuwa anataka kuondoka klabu hiyo kwa uhamisho huru, lakini Barca hawaamini anaweza kukitumia kipengee cha mkataba wake ambacho kilimruhusu kufanya hivyo kabla ya Juni 10.

Imeripotiwa pia mapema Leo, Lionel ameomba kufanya mazungumzo na bodi na viongozi wa Barcelona kuhusu mustakabali wake wa kuondoka katika klabu hiyo lakini Viongozi wamekataa kikao hicho.


Beti Mbio za Mbwa Mubashara

Hii ni rahisi zaidi! Hapa USHINDI unaupata kwa kuchagua mbwa anayeshinda mbio na machaguo mengine yenye odds tamu.

Cheza Hapa

41 Komentara

    aende tu hana jipya kashazeeka

    Jibu

    Kuna uwezekano mkubwa wa messi kutua mancity kwa sababu pep guardiola anaweza kuwa nguvu kubwa ya kuinasa kandarasi ya messi.

    Jibu

    Messi ameshakwisha huyo aende tu.

    Jibu

    Kwa jinsi mkataba wake ulivyo na uwezo wa klabu Messi hawezi kuondoka Barcelona msimu huu#meridianbettz

    Jibu

    Kwa round hii mess kubaki nou camp sidhani

    Jibu

    Duuuuh hatari

    Jibu

    Jamaa anataka Ashinde tu kafungwa anahaha

    Jibu

    Pep inaweza ikawa sababu kibwa ya messi kutua mancity.

    Jibu

    Messi fundiiii

    Jibu

    Mess team imemchoshwa aclache aondoke

    Jibu

    Karbu sana EPL messi

    Jibu

    Daaah hata sielewi mana kila leo inakuja mpya Mara messi amekanusha kwenda man city sasa anataka kuongea na man city asajiliwe mm nasubiri kuona anakuwepo wapi tu

    Jibu

    Hayo maneno tu hata kwenye kanga yapo Messi hawezi toka barca amini nawaambia tutaona kama atatoka na hi mitandao sio poa mara Messi anaenda man city mara haendi kakanusha dah kama magazeti za kibongo

    Jibu

    Maisha popote aende tu.

    Jibu

    Live as legend asiondoke kwa namna hvyo

    Jibu

    Messi fundi wa mpira duniani

    Jibu

    Aende tu hakuzaliwa na Barcelona

    Jibu

    Acha tu Messi haende zake#Meridianbettz

    Jibu

    kwel messi anaitaji kuondoka barcelona itakuwa vizuri sana abidilishe upepo

    Jibu

    Watu tunasubilia kauli yake yy mwenyewe ndio tutajua Messi ataenda chama lipi maana tetesi zimekuwa nyingi sana mara ya kwanza walisema Messi haendi man city saiz tena anataka kwenda huko tunasubilia yeye mwenyewe tamko lako

    Jibu

    Man city awawezi kumnunua mess hzo ni njama za mwalimu wake wa zamani guardialo kuondoka barcelona

    Jibu

    🤣🤣🤣lakini naogopa

    Jibu

    Kumbe Messi alikua na mpango wa kuondoka muda mrefu…

    Jibu

    Messi anajaribu kuandaa mazingira ya kuacha soka lakini jina lake lichukue muda mrefu kusaulika kwenye ulimwengu wa soka hivyo ni vigumu kwa yeye kusalia Barcelona.

    Jibu

    Messi mwamba

    Jibu

    Kila la heri

    Jibu

    Messi jembe yeye ndio mwenye uwamuzi chochote kile atakacho kiongea yeye

    Jibu

    Kila la kheri

    Jibu

    Messi huna maamuzi yako

    Jibu

    Mwacheni tu Messi aame timu barca wamemtumia vyakutosha

    Jibu

    Messi jembe

    Jibu

    Messi jembe

    Jibu

    Aende t

    Jibu

    Kwa staili messi me naona kama hanapoteza jina lake tu ukiangalia pale barca tayari halishakua mfalme ni miaka mingi amekua akihitumikia clabu hiyo

    Jibu

    Mwacheni Messi abadilishe upepo

    Jibu

    Messi hata haeleweki kuondoka anataka kubaki anataka

    Jibu

    kama kuna uwezekano messi atue tu mancity

    Jibu

    Hayo maneno tu hata kwenye kanga yapo Messi hawezi toka barca amini nawaambia tutaona kama atatoka na hi mitandao sio poa mara Messi anaenda man city mara haendi kakanusha dah kama magazeti za kibongo

    Jibu

    Mess team imemchosha wacha aondoke

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.