Bale Bado Anaiwaza Ligi Kuu Epl.


Gareth Bale ameweka wazi shauku yake ya kutaka kuondoka Real madrid na kutafuta timu nyingine ambayo itampa nafasi ya kucheza huku ripoti zikidai kuwa ana nafasi kubwa ya kurejea England.

 

Bale Bado Anaiwaza Ligi Kuu Epl.

Mchezaji huyo mwenye miaka 31, anataka kuondoka klabuni hapo kwa kuwa hana mawasiliano mazuri na kocha Zinadine Zidane ambaye amekuwa hampangi katika kikosi cha kwanza.

Bale ilikuwa ajiunge na klabu ya Ligi kuu nchini China,Jiangsu Suning katika dirisha la usajili la majira ya kiangazi kwa msimu uliopita lakini dili hilo halikufanikiwa.

 

Bale Bado Anaiwaza Ligi Kuu Epl.

Bale alisema kuwa kuendelea kubaki Real Madrid ama kuondoka uamuzi wa mwisho upo kwa uongozi wa Madrid wenyewe.

“Nilijaribu kutaka kuondoka mwaka jana, lakini walizuia kila kitu katika dakika za mwisho, ulikuw ampango ambao niliuandaa kw amuda mrefu lakini nasikitika haukufanikiwa.”alisema.


SHINDA NA HI LO

Sasa hii ni rahisi zaidi kupata USHINDI! Unatabiri karata ipi ipo chini au juu, kisha unakusanya mkwanja wako.

Cheza Sasa.

38 Komentara

    Sijui zidane hana mpango gani na bale..!

    Jibu

    Bale angerudi katika nafasi yake kama alivyokuwa mwanzo alikuwa vizuri lakini kwa kipindi kirefu Sana ajafanya vizuri katika klabu ya real Madrid

    Jibu

    Bale ameona mbali sana

    Jibu

    Huyo Zidane naye anamtakia nini gareth balle,,

    Jibu

    Bale angerudi tu@meridianbettz

    Jibu

    bale angerudi tu uingereza maana uko aliko amekuwa kama ameshuka kimpira sababu sioni kama kuna ushindani mkubwa

    Jibu

    Uwamuzi mzuri sana hapo ukiondoka naamini kuwa utakuwa kimchezo na umaarufu utazidi ya hapo mana ilikuwa unapotea

    Jibu

    Zidane jamn unampango gan na bale#Meridianbettz

    Jibu

    Bale Ni bora angeenda huko anapoona yeye panamfaa akaendeleze mpira

    Jibu

    tatizo nini lilopo Kati yao…?

    Jibu

    Kwa Kifupi Bale anadeni na EPL maana aliondoka wakati yupo kwenye form kubwa sana hivyo kwa upande wa uingereza hatukumfaidi kama atapata chance basi ni wakati wake kumalizia kile alichoanzisha miaka michache iliyopita akiwa na Spurs.

    Jibu

    Bale kama vipi badilisha upepo

    Jibu

    Bale fanya mamuzi uwende semu usika unapo pahidaji

    Jibu

    Bale bora ukatizame upepo mwingine

    Jibu

    Bale bora aondoke akatafute timu nyingine naona zidane atakii mwezio maisha mazuri

    Jibu

    Akwendetu huko Bale

    Jibu

    jambo zuri akipata timu ambayo atakuwa kipenzi cha kocha

    Jibu

    Bale kwa uingereza anacheza club yeyote ile kwani uwezo bado anao.

    Jibu

    Sielewi kwa zidane ana mpango gani na huyu nyota machachari Bale.

    Jibu

    Jambo zuri

    Jibu

    Ni Jambo jema

    Jibu

    Bale hajaonyesha mchango wake pengine kwa sababu namba anayocheza sio ile aliyokuwa anacheza akiwa Tottenham#meridianbettz

    Jibu

    gud news

    Jibu

    Aende tu EPL

    Jibu

    Ni safi kwa bale kurudi kwa epl ila akijiunga na chelsea itakua makini sana

    Jibu

    Kama vip bare akabadilishe mazingira#meridianbettz

    Jibu

    Zidane vipi? mbona kijana analalamika wakati juhudi zake zinaonekana!!!

    Jibu

    Balle sepa tu mdogo ang maisha popote

    Jibu

    Bale tuliza akili
    Badilisha upepo

    Jibu

    Kwa kurud epl ni bora ukakinukishe the gunners

    Jibu

    Mie naona bora asepe tu akabadilishee mazingira kwingine

    Jibu

    Kama hana maelewano mazuri na zidane asepe tu

    Jibu

    Welcome Epl bale

    Jibu

    Sasa ni mda wake kuondok

    Jibu

    bale angerudi tu uingereza maana uko aliko amekuwa kama ameshuka kimpira sababu sioni kama kuna ushindani mkubwa

    Jibu

    Daah EPl hakuna timu inayomtaka balle jamani aende huko

    Jibu

    Aje Basi EPL

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.