Griezmann Anaimani Messi Ataendelea Kubaki Barca.

Nyota wa Barcelona Antoine Griezmann anatumaini nahodha wa timu ya Barcelona Lionel Messi ataendelea kuwepo Barcelona baada ya kuwepo kwa sekeseke la nyota huyo kutaka kuihama klabu hiyo.

Messi aliiambia Barcelona kuwa anataka kuondoka Camp Nou ambako ametumia muda wote wa soka lake tangu akiwa mdogo, na amekuwa akihusishwa kumfuata kocha wake wa zamani Pep Guardiola katika klabu ya Manchester City.

Lakini baba wa Messi, Jorge amesema kwamba mshindi huyo wa tuzo ya Ballon d’Or kunauwezeka asiondoke klabuni hapo ili amalize mwaka mmoja uliyobakia kwenye mkataba kuliko kulazimisha kuondoka kwa haraka.

Griezmann, aliyetua katika klabu ya Barcelona akitokea Atletico Madrid mwanzo mwa msimu 2019-20 anamahusiano mazuri na Messi amesema kwamba.

“Tunajaribu kuwajuza kuhusu swala hili, lakini ni kuhusu yeye na klabu,” Griezmann aliiambia M6 ikiwa Ufaransa inajiandaa na mchezo wa Jumamosi dhidi ya Sweeden jijini Stockholm.

“Wote tunaimani ataendelea kubaki, najaribu kuzingatia katika timu ya taifa sasa na tunajiandaa kwaajili ya michezo miwili ijayo.

Griezmann alifunga magoli 15 katika mashindano yote katika msimu wake wa kwanza akiwa na Barcelona, wakati klabu hiyo ikiwa na msimu mbaya kwa kushindwa kutetea ubingwa wa LaLiga mbele ya Real Madrid, na kupata kipigo cha aibu kutoka kwa timu ya Bayern Munich kwenye michuano ya Champions League.


SHINDA NA HI LO

Sasa hii ni rahisi zaidi kupata USHINDI! Unatabiri karata ipi ipo chini au juu, kisha unakusanya mkwanja wako.

Cheza sasa

 

37 Komentara

    Me naona messi angeangalia upande mwengine tu na sio kuama Barcelona ingekua vizuri hawe kama kocha msaidizi tu

    Jibu

    Griezman ni mchezaji mzuri Sana pia hanaweza akaisadia klabu yake ya Barcelona kwa kiwango kikubwa Sana hivyo aachane na Messi na maamuzi yake akitaka kuondoka Barcelona hama kubaki Barcelona

    Jibu

    Usiusemee moyo wa mtu yeye mwenyew ndo ataamua

    Jibu

    Dah..mess nae amewaza nini mpaka kutaka kuondoka clabun hapo

    Jibu

    messi kashaamua kutaka kuondoka barcelona sizani kama anaweza kumuelewa mtu

    Jibu

    Messi aondoke tu @meridianbettz

    Jibu

    Hii ni aibu kubwa sana kwa klaba kuonyesha kuwa hawana uwezo wa kusimama mwenyewe bila ya mchezaji mkongwe messi ndiyo mana wanazidi kumuwekea vipingamizi ili abaki na kuendelea kumshawishi kutumikia klabu yaooo

    Jibu

    Baba yake Messi yupo sahihi Messi angemalizia tu mkataba wake iliakimaliza awe na uhuru wa kuchagua wapi anataka kwenda kumalizia kipaji chake

    Jibu

    Acha Messi amalize mkataba wake afanye maamuzi yake binafsi achague mwenyew pa kwenda#Meridianbettz

    Jibu

    messi mwenyewe kashaamua ivyo anataka kuondoka

    Jibu

    Messi Ni mtu mzima na anajua nn afanye kwaiyo yy ndo anajua huamuzi hatao chukua cc wengine Ni wasubiriaji tyu!

    Jibu

    Messi hawezi kuondoka Barca

    Jibu

    Messi akibaki Barca ni kazi bure maana ataondoka kama Free Agent, Kipi bora Barca wanatakiwa waangalie swala hili kwa makini zaidi sababu wanaweza tumia fedha zitakazopatikana kujijenga zaidi kwa ajili ya future kuliko kuvutana na mchezaji ambae amewapatia heshima kubwa sana kwenye ulimwengu wa Soka.

    Jibu

    Barcelona wanajipa moyo Kama Messi ataendelea kusali Apo krabuni Barcelona Wamuwache asepe uwamuzi anao yeye Kama kubaki hau kuondoka

    Jibu

    Messi hawezi kuondoka barca

    Jibu

    Messi anaweza kuondoka Barcelona mda Wowote mwenyewe ameshachoka kubaki club hapo

    Jibu

    mhhh sizani kama messi ata weza baki barcelona

    Jibu

    Kwa hali jinsi ilivyo hadi sasa kunauwezekano mkubwa wa messi kusalia camp nou

    Jibu

    Messi hawezi kuondoka Barcelona

    Jibu

    Wote tunaimani ataendelea kubaki,Messi professional player.

    Jibu

    Mwachieni messi aende tu

    Jibu

    Antoine Griezmann wa Atletico sio huyu wa Barcelona pengine kutokana na kutocheza namba yake ya aliyozoea#meridianbettz

    Jibu

    nice

    Jibu

    Daaaa!!! ! Messi akiondoka barca itakua hovyo.

    Jibu

    Mess kubaki barcelona ni aslimia kubwa kwa kuwa ye ndio legend aliebak kuwaelekeza wachezaji wengine waliobakia

    Jibu

    Nitaamia uko uko kwa Messi

    Jibu

    Messi hawezi kuindoka barc#meridianbettz

    Jibu

    Mkimlazimisha sana kubaki wakati moyo wake ushatoa maamuzi,atawaletea mauza uza mtajuta kumfahamu!!!

    Jibu

    Nadhan awez ondoka barca

    Jibu

    Mwacheni afanye maamuzi yake

    Jibu

    Mess kubaki barca ni uhakika sabab barca inatak hela ndefu

    Jibu

    Akibakii au akiondoka ni sawa tu

    Jibu

    Mwenyewe anataka kuondoka na atasepa tu

    Jibu

    Messi Atabaki hata mm naona hlo

    Jibu

    Mess send popot

    Jibu

    messi angeangalia upande mwengine tu na sio kuama Barcelona ingekua vizuri hawe kama kocha msaidizi tu

    Jibu

    Messi ni mwoga kutoka Barca

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.