Mikel Arteta, Kocha Mkuu wa Arsenal amesema kuwa mshambuliaji wake namba moja Pierre Emerick Aubameyang atasaini dili jipya hivi karibuni.
Arteta ameongoza kikosi chake kutwaa mataji mawili kwa kuzinyoosha timu kubwa ikiwa ni pamoja na ule wa Kombe la FA ambapo aliichapa Chelsea mabao 2-1 na taji la Ngao ya Jamii alishinda kwa penalti 5-4 mbele ya Liverpool baada ya dakika 90 kutoka sare ya bao 1-1.

Mtupiaji wa mabao yote matatu alikuwa ni nahodha Aubameyang ambaye amekuwa akitajwa kutaka kuondoka ndani ya kikosi hicho.

Arteta amesema:”Nimekuwa nikisema jambo lilelile kuhusu Aubameyang. Ni mchezaji mzuri ambaye anaweza kucheza michezo mikubwa.
“Nimekuwa nikipambana kuhakikisha namshawishi ili aweze kubaki kwenye timu hii naamini kuwa atakubali kusaini kwa kuwa hii ni timu yake bora na tukiwa pamoja tutafanya makubwa msimu ujao,”.
Msimu mpya wa Ligi Kuu England unatarajiwa kuanza Septemba 12 na mabingwa watetezi ni Liverpool.
SHINDA NA HI LO
Sasa hii ni rahisi zaidi kupata USHINDI! Unatabiri karata ipi ipo chini au juu, kisha unakusanya mkwanja wako.


Zeiyana
Arteta yupo vsahihi ukiangalia ni kweli aubameyang amefanya kazi kubwa sana pale klabuni ersenal
Caroline
Aubameyang ni mchezaji mzuri.na anaweza kucheza michezo mikubwa..atakapoenda watanufaika nae mno
Elika
Hongera sana miker alteta kwa kukiongoza vyema hicho kikosi chake
magdalena
arteta anahitaji kusahihisha makosa yaliyopita yasijirudie tena juu y kukisuka kikosi chake
Adelta
Hongera Sana kijana kwa kuongoza kikosi chako vizuri@meridianbettz
Dorophina
Aubameyang yupo vizuri anamchango wake mkubwa kwa arsenal safari hii arteta ajitahidi Mambo yawe mazuri
Ester jackson
Safii sana kuongezewa mkataba ila kwa kushinda kwa arsenal ni bahati sana mana bado viwango vyao vidogo na tukiangalia upande wa Chelsea Mara zote wamekuwa wakitoa ushindi kirahisi.
Mwajumah
Pongez kwake arteta kwa kukiongoza vizur kikosi chake#Meridianbettz
Fatina mfigi
Pongezi kwako!!
felister
Aubemayang ni mchezaji mzuri ambaye anacheza michezo mikubwa
Sauda
Hongera yake
Ernest
Hapa tuache ushabiki lakini Aubameyang kuendelea kubaki Arsenal ni kujicheleweshea mataji makubwa kama mchezaji ambae umri wake unamtupa mkono sasa.
Mwanahamisi
Hongera yake
Tatu
Arteta ameitoa mbali timu ya arsenal na amewaweka sawa wachezaji wake kuwafanya wapate dili nono
Lydia Emmanuel Magoti
Safii Sana kuongezewa mkataba nijambo zuri Sana mpambanaji Uyo
Genia Sikaluzwe
Hongera yake
Shafii
Nina imani arteta atambakisha aubameyang arsenal.
Nasra
Pongezi kwako
Sadick
Arteta amekuwa na wasiwasi uwezekano wa Aubameyang kuondoka na kwahali hiyo inaweza kupelekea akalipwa pesa nyingi mkataba mno#meridianbettz
Issa
Auba mtu makini the gunners aterta kumwacha ni kosa kubwa
Khadija
Safi sana kuongezewa mkataba hika kushinda kwa Arsenal ni bahati sana#meridianbettz
Rose kapinga
Saini tuu uendelee kusakata kabumbu klabuni hapo!!!!
Hope mwaikuka
Ni vzur maana kaz yake imeonekana
Saupha mohamed
Pongezi kwake
Shani
Auba kaipaisha the gunners msimu huu na arteta kumuachia ni ngumu kwa msimu huu
Samiah
Pongezi kwao
Sabrina
Aubameyany ni tishio anakimbiza mbaya
Rehema
Safi
Janeflora malisa
Pongez kwak
Povel
Pongez kwake Kama atasalia na kusain deal jipya
Amiri Kayera
Jamb zur km atafanikiw kubakishw
Gabriel
Hongera sana miker arteta kwa kukiongoza vyema hicho kikosi chake
Tahiya
Hicho ndicho tulichokuwa tunakitaka kukisikia mashabiki wake
warda
Iko poa sana