Brazil na England Haki sawa Soka la Wanawake.

 


Wachezaji wa timu ya taifa ya wanawake ya Brazil watalipwa posho sawa na wachezaji wa timu ya wanaume ametangaza Rais wa shirikisho la soka Brazil CBF Rogerio Caboclo.

Malipo haya yataanza katika michuano ya Olimpiki itakayofanyika mwakani na katika fainali za kombe la Dunia.

 

 Brazil na England Haki sawa Soka la Wanawake.

Rogerio Caboclo. Amesema “itakuwa sawa kwa wote kama mapendekezo ya FIFA yanavyotaka kwenye soka la wanawake, hivyo hakutakuwa na utofauti wa jinsia”.

Hata hivyo Uingereza nayo imeungana na Brazil katika kupitisha sheria hiyo, hivyo wachezaji wa timu ya taifa ya wanawake ya Uingereza watalipwa posho sawa na wachezaji wa timu ya wanaume.

 

 Brazil na England Haki sawa Soka la Wanawake.

CBF na FA yanakuwa miongoni mwa mashirikisho machache Duniani yanayolipa posho sawa kwa timu za taifa za wanawake na wanaume, mataifa mengine yanayofanya hivyo ni Astrallia, Norway na New Zealand.


SHINDA NA HI LO

Sasa hii ni rahisi zaidi kupata USHINDI! Unatabiri karata ipi ipo chini au juu, kisha unakusanya mkwanja wako.

Cheza Sasa.

39 Komentara

    Hii ni habari njema Sana kwa kuona haki za wanawake natumai nao pia watafanya vizuri katika kazi zao

    Jibu

    Hiyo itakuwa imekaa sawa kabisa..maana wapo kazini

    Jibu

    Ubaguzi wa kijinsia haukubaliki

    Jibu

    Wanastahili pongezi kwa kiwango walichofikia@meridianbettz

    Jibu

    haki ikiwa sawa kwa wote inapendeza sana

    Jibu

    Jambo nzuri sana sasa ubaguzi unapota mdogo mdogo pongezi sana Rais wa shirikisho la soka Brazil CBF Rogerio Caboclo kwa uwamuzi mlio fikia

    Jibu

    Ni habari njema sana na pongez kwake Rais wa shirikisho la soka Brazil kwa uwamuzi mliofikia#Meridianbettz

    Jibu

    safi raisi wa shirikisho la soka la Brazil amefanya jambo nzuri haki sawa kwa wote hakuna haja ya ubaguzi

    Jibu

    Daah Ni Jambo zur kuona wanawake wanapewa kipaumbele

    Jibu

    Wamefanya vizuri kuwawekea haki sawa na wanaume kwasababu wote wanafanya kazi sawa

    Jibu

    Ubaguzi wa kijinsia tupa kule!!!!!

    Jibu

    Naona Uingereza wameamua kufuata nyayo za Brazil, Ni Hatua nzuri sana

    Jibu

    Kweli hili jambo nzuri sana kufanya hvyo haki sawa kwa kila mtu na naona kazi wanayoifanya inafanana ni vizuri kulipwa sawa

    Jibu

    Kumbe kweli wanawake tunaweza

    Jibu

    Nivizuri Sana Kama wataripwa sawa pongezi zake Rais washilikisho lasoka Brazil CBF Rogerio kaboclo kwa wamuzi mlio fikia wanawake Wa Brazil wapo vizuri nakujituma pia Wana weza wapambanaji

    Jibu

    Hpn chezea wanawakee wewwwwe

    Jibu

    jambo jema sana hilii

    Jibu

    Hatua hii inaongeza umaarufu wa soka la wanawake na kuongeza ushindani ktk soka la wanawake#meridianbettz

    Jibu

    Hii italeta chachu ya kukua kwa soka la wanawake duniani.

    Jibu

    Kiwango walichofikia wanastahili pongezi.

    Jibu

    Pongezi zinastahili

    Jibu

    Ni habari njema hizo

    Jibu

    Habari nzuri.

    Jibu

    Ni sawa kwa chama cha soka cha brazil kutoa fursa hii

    Jibu

    Safi sana kwani sasa hiv haki sawa kwa wote hakuna mwanamke wala mwanaume#meridianbettz

    Jibu

    Asante kwataharifa

    Jibu

    Ukisikia haki sawa ndio hii sasa tunaanzia kwenye maslahi!!!

    Jibu

    Inapendeza sana maana wote wanatumikia taifa

    Jibu

    Jambo zuri safi

    Jibu

    Kweli kabisa hii italeta hamasa kwa wachezaji

    Jibu

    Safi kwao kwa kuleta usaw kwenye soka

    Jibu

    Hii habari nimeipenda mno.haki sawa kwa wote

    Jibu

    Safi sana hii

    Jibu

    Nice update

    Jibu

    Doh hii ndo haki sawa

    Jibu

    Hii imekaa poa sana hii

    Jibu

    ubaguzi unapota mdogo mdogo pongezi sana Rais wa shirikisho la soka Brazil CBF Rogerio Caboclo kwa uwamuzi mlio fikia

    Jibu

    Ni jambo njem hilo no kubaguana

    Jibu

    Hii Nimeipenda

    Jibu

Acha ujumbe