Goli kipa wa Real Madrid na timu ya Taifa ya Ubelgiji – Thibaut Courtois, ameondoka kwenye kambi ya timu ya taifa na kurejea Real Madrid.
Mpaka sasa haijajilikana sababu ni nini. Japokuwa, kulikuwa na taarifa zilizosambaa zikidai kipa huyo alikutwa na maambukizi ya virusi vya COVID19.
Hata hivyo, Kocha wa timu ya Ubelgiji – Roberto Martinez alikanusha taarifa hizo akisema,
“Courtois yupo tayari kufanyakazi. Idara ya afya imetuthibitishia kuhusu afya yake na hana maambukizi ya COVID 19, taarifa hizo zimenihuzunisha sana.”
Ubelgiji watacheza na Denmark siku ya jumamosi kabla ya kukutana na Iceland siku ya jumanne.
SHINDA NA HI LO
Sasa hii ni rahisi zaidi kupata USHINDI! Unatabiri karata ipi ipo chini au juu, kisha unakusanya mkwanja wako.


Issa
Qurtois huo sio uzalendo kwa taifa lako
Sauda
Safari njema
Adelta
Mashabiki wanakutakia Kila la kheri
@meridianbettz
Povel
Duh majanga kwl ila uzalendo unahitajik kwny taifa lako
magdalena
alibidi aoneshe uungwana kidogo asingeondoka katika club ya taifa lake
Dorophina
Kwanini wametoa taarifa ambazo hazikuwa sahihi kama Ni mgonjwa lakini kumbe hana maambukizi yoyote ila Qurtois angebaki tu kwenye taifa lake
Ernest
Hapa bado kuna sitofahamu kocha Roberto Martinez alitakiwa kuthibitisha kama Courtois yupo na amejumuishwa kwenye kikosi
Sadick
Nidhamu kwa mchezaji ni muhimu na ndio muhimili wa mafanikio kila nyanja,lazima kuna shida mahala na hilo linaweza kupromosha mafanikio ya kizazi cha dhahabu ambacho hakijaonyesha mambo makubwa kulingana uwezo mkubwa wa mchezaji mmoja mmoja#meridianbettz
Janeflora malisa
Hapo maswal meng san
felister
mmmh apo wanatuchanganya km alikua na maambukizi ya covid 19 mbona ameenda real Madrid…?
Tatu
Kila la khery huko anapoenda
Caroline
Mi nasubiria iyo mechi ya ubelgiji
Nasra
Kila la kheri
Mwanahamisi
Safari njema
Mwajumah
Kila la kheri huko aendako#Meridianbettz
Shani
Iko ni kizungumkuti kwa kweli!
Lydia Emmanuel Magoti
Maisha mema kwake huko haendapo
lombo
asante meridianbet kwa habar moto moto
Flomena
Good news
Saupha mohamed
Kila LA kheri
farida ahmadi
Kila la kheri
aisha
Kila la kher huko unakoenda
Amiri Kayera
Dah
Hope mwaikuka
Bora sasa kapige kaz
Devotha
All de best
David Pere
Nidhamu kwa mchezaji ni muhimu na ndio muhimili wa mafanikio kila nyanja,lazima kuna shida mahala na hilo linaweza kupromosha mafanikio ya kizazi cha dhahabu ambacho hakijaonyesha mambo makubwa kulingana uwezo mkubwa wa mchezaji mmoja mmoja
Isaya massawe
Awezi ondoka bila sababu
Khadija
Safari njema uko uendako#meridianbettz
Gabriel
majanga kwl ila uzalendo unahitajik kwny taifa lako
Rehema
Kila la kheri
Sabrina
Duh sio poa bhana
Ester jackson
Hapo lazima pawe na kitu nyuma ya pazia
warda
Itakuwa ni huu ugojwa tu
Furahav
Mmmh balaa.
Samiah
Duuh