Nahodha wa Ureno, Cristiano Ronaldo alikumbushwa kuvaa barakoa na Afisa mmoja wa afya kama sheria zinavyoshauri wachezaji wa akiba kuvaa barakoa wanapokuwa nje ya uwanja.
Cristiano Ronaldo alionekana kutovaa barakoa yake wakati akiishuhudia timu yake ikiiporomoshea kipondo kizito cha bao 4-1 timu ya Croatia katika mashindano ya “UEFA Nationa League” yanayoendelea.

Ronaldo ambaye aligoma na kuondoka katika klabu yake ya Juventus baada ya mchezaji mwenzie kuugua Virusi vya korona mapema mwaka huu.
Mchezaji huyo pia hakufanikiwa kuchukua ufungaji bora msimu huu baada ya kupata changamoto kutoka kwa mchezaji bora wa Lazio msimu huu, Ciro Immobile.
Cristiano alikuwa anahusishwa kukihama kikosi cha Juventus baada ya kuondolewa na Lyon katika robo fainali ya Ligi ya Mabingwa, lakini mchezaji huyo alikanusha madai hayo katika kurasa za mitandao yake ya kijamii.
SHINDA NA HI LO
Sasa hii ni rahisi zaidi kupata USHINDI! Unatabiri karata ipi ipo chini au juu, kisha unakusanya mkwanja wako.


Khadija
duh!!corona bado ipo tahadhari muhimu#meridianbettz
Furahav
Mmh corona noma.
magdalena
tahadhali muhimu wamefanya jambo jema sana kumkumbusha
felister
Kinga ni bora kuliko tiba
Hidaya
Corona bado ipo tahadhari muhimu
Hope mwaikuka
Kuna mda tunapitiwa japo corona bado ipo
Lydia Emmanuel Magoti
Duu Corona bado ipo tahadhari muhimu
Tatu
Hizo barakola nayo ni shida zinabana pumzi
Sadick
Afya kwanza mengine baadaye. Kibongo bongo star kama hiyo hata kama corona imepamba moto hakuna mwenye ubao wa kumwambia chochote. Samatta wetu aliomba radhi ya kuvaa barakoa kwenye mkutano na vyombo habari mechi ya hisani na timu kiba#meridianbettz
lombo
jambo zuri afya kwanza
Povel
Afya kwanza
Mwajumah
Duuh corona hatar
Theckla
Avae tu kwa ajili ya usalama
Shafii
Jambo zuri afya ni muhimu.
jullie
kinga ni bora
Issa
Tahadhari inatakiwa katika soka
Salma ngende
Afya kwanza
aisha
Ni bora wamemkubusha kuvaa barakoa ili ajikinge zaidi
Agness
Nijambo la msingi
rama
safii sana angalizo la afya kwa wachezaji wote
Amiri Kayera
Kavulugw na kipgo
Saupha mohamed
Jambo zuri kujikinga
Sabrina
Kukumbushana muhimu corona inatishaa
Zeiyana
Kuna mda mtu unatamani bola liwe tu ukingalia kwa upande wa wachezaji wa nje kila siku unasikia listi ya maambukizi Ronaldo kaamua liwalo na Liwe tu
Rehema
Ni Jambo la msingi
Gabriel
Tahadhali muhimu wamefanya jambo jema sana kumkumbusha
Tumaini kasalile
Wako sahihi mana covid 19 ni noma
Janeflora malisa
Vzr sana ‘ wanamjali
Latifa juma mohamed
So nice, unaambiwa Kinga ni Bora kuliko tiba.
Elika
Asijisahau sana ugonjwa bado upo huu
Sauda
Kinga ndio mpango mzima
Rose kapinga
Fanya hivyo broo,kinga ni bora kuliko tiba!!
Ernest
CR7 alikuwa anawaza zaidi mechi kuliko kitu kingine chochote.
Fatuma kasomo
Gud newson
Nasra
Gud news
Neema
Kujikinga ni lazima
Fatina mfigi
Corona noma!!
Samiah
Noma saanaa Corona
Isaya massawe
Akili ilikua mchezoni
farida ahmadi
Ni vizuri Sana
David Pere
Afya kwanza mengine baadaye. Kibongo bongo star kama hiyo hata kama corona imepamba moto hakuna mwenye ubao wa kumwambia chochote. Samatta wetu aliomba radhi ya kuvaa barakoa kwenye mkutano na vyombo habari mechi ya hisani na timu kib