Pirlo: Juventus Bado Inatengenezwa

Kocha wa Juventus – Andre Pirlo, amesema timu yake bado inatengenezwa hivyo matokeo dhidi ya Roma hayampatii tabu.

Juventus walikuwa uwanjani wikiendi hii kucheza na AS Roma. Mchezo ambao ulimalizika kwa matokeo ya sare 2-2.

Kwa mujibu wa Pirlo, wachezaji wake bado hawajawa tayari kikamilifu na hivyo wanaendelea kujiweka vizuri kama timu. Mchezo dhidi ya Roma ulikuwa mgumu kwa Juventus ambao walijitahidi kusawazisha matokeo baada ya kufungwa 2-1.

Kiungo wa Juventus – Rabiot alipewa kadi mbili za njano na hivyo kutolewa nje katika dakika ya 60. Cristiano Ronaldo aliokoa jahazi la Juventus baada ya kufunga magoli yote 2 na kuokoa pointi 1 katika mchezo huo.

Roma wanashambulia na wachezaji wengi kama sisi tunavyofanya, hivyo ulikuwa ni mchezo wa tofauti na Sampdoria.

“Hii ni hatua moja nyuma, lakini ni timu inayojengwa. Hatukuwa na muda wa kujiandaa zaidi kabla ya msimu. Kwetu huu ni mchezo wa kujipima.

“Mwisho wa siku tumepata pointi 1. Alvaro Morata amefika siku 2 zilizopita, Arthur hajacheza kwa miezi 6 na anahitaji muda kuzoea mpira wa Italia. Bentancur anaanza kujisikia vizuri. Hali za hawa wachezaji wote zinaendelea vizuri taratibu.” amesema Andre Pirlo.


Beti kwa Kitochi Kushinda 300,000,000!

Unajua kuwa unaweza kushinda milioni mia tatu kwa buku tu? Ndiyo! Unaweza kushinda kwa kupiga *149*10# na kubashiri. Ingia mchezoni!

Soma Zaidi

40 Komentara

    Wachezaji wa juve bado awajawa tayari hvyo wanajifua ili kuingia uwanjani

    Jibu

    Pirlo na juve mpya inabid tuwape muda kutengenezah kikos chake msimu huuu kwa matokeo ya Jana tuwanapa credit roma kwa kupata sare Kwan juve imeshehenu wachezaj wenyew vipaj vya Hali ya juu

    Jibu

    juve wanabidi wajipange ippasavyo ili kikosi chao kiweze kuwa imara

    Jibu

    Juve waongeze nguvu

    Jibu

    Roma wanaweza wakasena Ronaldo ndio mchawi wao..!kwa kuangalia mchezo Roma ndio walianza kuongoza mchezo ila ndio ivyo tena waenga wanasena kutangulia sio kufika

    Jibu

    Nivizuri kujipanga sawa Juve unajua kila timu sasaivi imekuja kivingine nakila mtu anataka ushindi kwaio Juve wanacho kisema Pirlo yupo sahii wakaze buti iliwae kwenye nafasi nzuri

    Jibu

    Makocha wa kipindi hiki wanakazi kubwa sana kupata mafanikio kwa haraka sababu timu nyingi zimejipanga na ile Heshima sijui ya kusema Juve, Mancity, Barca, Madrid, Chelsea, Arsenal na Liverpool ni timu kubwa basi zinapokutana na timu ndogo lolote linaweza kutokea na sio kuwapa ushindi tu Timu Kubwa

    Jibu

    Juve wakaze buti

    Jibu

    Sawa juventus lakini mnatakiwa mjitahidi sana maana matokeo yakiwa mabovu sisi mashabiki ndio tunaoumia

    Jibu

    Juve iko vizuri kwa sasa

    Jibu

    Juve wapo vizur kwa ss waendele kujipang ili waendele kupata motokeo mazur

    Jibu

    Juve waongeze nguvu

    Jibu

    Juve bado Wana kazi kubwa ya kupanga kikosi

    Jibu

    Pirlo yupo sahihi bado ni mapema mno kumtabiria kwa matokeo ya mechi moja

    Jibu

    Itakua team nzuri zaidi

    Jibu

    Juventus waongeze bidii

    Jibu

    Yuko sahihi

    Jibu

    Juvetuns wakaze buti

    Jibu

    Hapo Juve nikujipanga tuu hakuna cha zaidi

    Jibu

    Juve inabidi wajipange ipasavyo kikosi kiwe na nguvu

    Jibu

    Yupo sahihi

    Jibu

    Juve inatakiwa iimarishe kasi iliokuwa nayo mwaka jana

    Jibu

    Kaz kazin

    Jibu

    Pirlo yupo sahii wakaze buti iliwae kwenye nafasi nzuri

    Jibu

    Juve waongeze juhudi

    Jibu

    sahh

    Jibu

    Juve wajitahidi sana kuongeza nguvu

    Jibu

    Pirlo anatengenez kikos bola

    Jibu

    Jitihada zinaitajika apo

    Jibu

    Juve ina mapunguf sehem ndogo sana na usajili haijafanya mkubwa imetimia labd sehem ya ushambuliaj

    Jibu

    Juve wakazee

    Jibu

    Nice

    Jibu

    Juve IPO vizurii

    Jibu

    Nice

    Jibu

    Juve iko poa

    Jibu

    Tunataka maendeleooo!!!

    Jibu

    yupo sahihi

    Jibu

    Juve waongeze nguvu za ziada.

    Jibu

    Roma wanaweza wakasena Ronaldo ndio mchawi wao..!kwa kuangalia mchezo Roma ndio walianza kuongoza mchezo ila ndio ivyo tena waenga wanasena kutangulia sio kufika

    Jibu

    Wapige tizi

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.