Tetesi za Soka Barani Ulaya.


Tetesi zinasema Manchester United imewasiliana na washauri wa kiungo mkabaji wa Ufaransa N’Golo Kante kuhusu hatua ya kuondoka Chelsea, lakini makubaliano yoyote na mchezaji huyo, 29, huenda yakapelekea kupunguzwa kwa mshahara wake wa pauni 300,000 kwa wiki.

Tetesi zinasema Lazio huenda ikataka kuwasajili viungo wawili wa Manchester United, Juan Mata, 32, na Mbrazili Andreas Pereira, 24.

Leicester City wanapanga kumsajili beki wa kati wa Torino, 23, Mbrazili Gleison Bremer, ambaye pia anawindwa na klabu ya Everton.

 

Tetesi za Soka Barani Ulaya.
 

Mshambuliaji wa Bournemouth raia wa Norway Joshua King, 28 anawindwa na Tottenham Hotspur wakati huu ambapo klabu hiyo inataka kumsajili mshambuliaji kabla ya siku ya mwisho ya uhamisho.

Spurs pia wanapiga hesabu za kumsajili Kwa mkopo mshambuliaji wa klabu ya Benfica na timu ya ya Uswizi Haris Seferovic, 28.

Tetesi zinasema Manchester City wanatarajiwa kumuachia beki kinda Eric Garcia, 19, kurejea Barcelona baada ya beki wa Benfica Ruben Dias kukubali kujiunga na Man City.

Tetesi zinasema Paris St-Germain imekuwa ikiwasiliana na Chelsea juu ya kumsajili kwa mkopo kiungo wa Italia, Jorginho, 28.

 

Tetesi za Soka Barani Ulaya.
 

Tetesi zinasema Aston Villa wametuma maombi ya usajili ya pauni milioni 9 kwa beki wa klabu ya Copenhagen Victor Nelsson, 21.

AC Milan wapo katika mazungumzo na klabu ya Tottenham kuhusu uhamisho wa beki wa kulia wa Ivory Coast Serge Aurier, 27.

Manchester City wamewakaribisha Barcelona kumsajili Oleksandr Zinchenko, 23, ambaye anamudu kucheza kama beki ama winga wa kushoto.

 

Tetesi za Soka Barani Ulaya.

Leicester City wanapanga kumsajili beki wa kati wa Torino, 23, Mbrazili Gleison Bremer, ambaye pia anawindwa na klabu ya Everton.

Barcelona wameachana na mipango ya kutaka kumsajili mshambuliaji wa Inter Milan, Lautaro Martinez, 23.


Beti kwa Kitochi Kushinda 300,000,000!

Unajua kuwa unaweza kushinda milioni mia tatu kwa buku tu? Ndiyo! Unaweza kushinda kwa kupiga *149*10# na kubashiri. Ingia mchezoni!

Soma Zaidi

38 Komentara

    Naona man u wako kwenye jitihada za mwisho kupata saini ya ngolo kante

    Jibu

    Man u wanajitahidi kupigania saini ya kante

    Jibu

    Good updates #meridianbettz

    Jibu

    Taarifa nzuri za usajiri

    Jibu

    NAONA UNITED NAO WANATAKA KUMNYEMELEA KANTE

    Jibu

    Duuh kama dili litakaa sawa ngolo atafanya yake hapo manchester united

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Vizur

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Man U wasiachia bonge nono la ngolo kante kuweka wino man apo yupo vizuri dogo huyo anajua

    Jibu

    Kante akienda man itakuwa wamefanya jambo jema kusajiliwa huko

    Jibu

    Sizani kama Chelsea wanaweza kumuuza n,golo kante

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Nice

    Jibu

    Usajili uko poa

    Jibu

    Tetesi za soka ni za kuaminika kabisa

    Jibu

    United itakua imekosea kumuuza mata sababu anafufuaga hali ya timu unapokua imepotea

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Habar zote zko vzur

    Jibu

    Asante kwataarifa@meridianbet

    Jibu

    Nice update 👍

    Jibu

    Kwny dilisha la usajil mambo ni moto Sana

    Jibu

    asante meridianbet kwa habar moto moto

    Jibu

    Imekaa poa sana

    Jibu

    Taalifa nzur za usajir

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Kwa kante man isijisumbue kuna viungo weng united

    Jibu

    Usajili umenogaa

    Jibu

    Good

    Jibu

    Usajili upo vizurii

    Jibu

    Nice

    Jibu

    Asante kwa taarifa meridianbet.

    Jibu

    Iko vizuri

    Jibu

    taarifa nzuri za usajili

    Jibu

    Zilikaa poa.

    Jibu

    Kwa kante man isijisumbue kuna viungo weng united

    Jibu

    Utakua usajili mzuri

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.