Baada ya kupokea kichapo cha 5-2 kutoka kwa Leicester City. Katika soko la usajili, Ruben Dias sasa ni rasmi amesajiliwa Manchester City.
Dias ambaye ametokea Benfica, amejiunga na City kwa dau la pauni milioni 62 wakati Nicolas Otamendi akisajiliwa Benfica.
Dias alikuwa nahodha wa Benfica katika mchezo wao dhidi ya Moreirense siku ya jumamosi na alitumia mchezo huo kuwaaga wachezaji wenzake pamoja na mkurugenzi wa michezo wa klabu hiyo – Rui Costa.
“Ulikuwa ni wakati wa kipekee kuwa na Costa, nadhani kila mtu ameshajua kwanini. Kikawaida, watu wanaacha alama zao na klabu pia.
“Bila shaka, ulikuwa ni wakati wa kipekee kwangu. Ninafuraha sana. Nimefurahi kumaliza mchezo kwa ushindi, ni kitu cha kipekee sana kwangu.” amesema Dias
Ujio wa Ruben Dias ni ahueni kwa Pep Guardiola ambaye alikuwa sokoni kumtafuta beki wa kati anayetumia mguu wa kulia. Nafasi ambayo iliachwa wazi na Vicent Kompany.
Otamendi amerejea tena Ureno baada ya kuitumikia FC Porto mwaka 2010-2014. Akiwa na City, amebeba makombe 2 ya EPL, 4 ya EFL Cup, 2 ya Ngao ya Jamii na 1 la FA.
Beti kwa Kitochi Kushinda 300,000,000!
Unajua kuwa unaweza kushinda milioni mia tatu kwa buku tu? Ndiyo! Unaweza kushinda kwa kupiga *149*10# na kubashiri. Ingia mchezoni!
Antony Luseno
Pep naona kuna mapungufu aliyaona ndo maana ameamua kumsajili Dias
aisha
Dias yuko vizuri sana nawapongeza sana manchester kwa kumpata huyu kijana atafanya mambo mazuri sana
Adelta
Ni usajili mzuri sana
magdalena
city wameifanya kazi nzuri ya kuinyaka saini ya kijana mahiri kama uyo
Lydia Emmanuel Magoti
Habari Nzuri kwa Man City kwakupata kiungo mwadirifu anajua
Khadija
Usajiri mzuri sana
Elika
Ni jambo jema kwa mancity
Dorophina
Man City wamepata mchezaji mzuri
Zeiyana
Huu utakua ujia mzuri kwa man Chester city bado wanatakiwa wasajili wachezaji wenye uwezo ili kukamilisha kikosi chao kiwe na ubora
Tatu
Ruben dias amepata club nzur man city huko kiwango cha uchezaji kitapanda maladufu
Mwajumah
Ni jambo zuri kwa mancity
Neema
Usajili uko poa sana
Janeflora malisa
Safi sana
Fatina mfigi
Safi kwa kupata kijan mahiri hapo man city!
Hidaya
Habari njema kwa mashabiki wa Manchester city
Shani
Ni mtu ambae uwezo wake anaweza kutatua tatizo la bek wa kat ambalo lilikuw linamsumbua pep
Angelina
Goodupdate
Mwanahamisi
Safi sana
Aziza mushi
Usajili mzuri.
Hopemwaikuka
Huko poa sana
Povel
Kila la kheri uwezo wake tunahufahamu Diaz kitasa
Fatuma kasomo
Safi
Gabriel
mapungufu aliyaona ndo maana ameamua kumsajili Dias
lombo
saf
Samira
Naona pep anataka kuimarisha ulinzi zaidi katika timu yake
Amiri Kayera
Usajir mzur Kwa man city
Theonestina
Hongera yake
Issa
Dias ligi ya epl si ya kubeza ni ligi ngimu sana
Sabrina
Ruben ametua katika klabu nzuri niyeye tu na juhudi zake
Saupha mohamed
Kila la kheri
Theckla
Kambi popote
Tumaini kasalile
Usajil mzuri
Samiah
Safi
Nasra
Gud
Ester mmakasa
Karibu kijana tunakuamini sana.
Rose kapinga
Kazi nzuri
felister
usajili mzuri
Tahiya
Good
Latifa juma mohamed
Nice.
David Pere
Dias yuko vizuri sana nawapongeza sana manchester kwa kumpata huyu kijana atafanya mambo mazuri sana