Sir Alex Ferguson aliwahi kusema, “Safu nzuri ya ushambuliaji itakushindia mechi lakini safu nzuri ya ulinzi itakushindia mataji” Fergie alikuwa sahihi ujue. Jana Chelsea wangekuwa makini kwenye ulinzi Pengine wangeshinda tatu kwa moja. Wameruhusu mabao mawili kwa makosa binafsi. Kosa binafsi la Marcos Alonso na Thiago Silva.
Hivi mmewaona Chelsea wanavyokaba? Bado sijaielewa ile ‘pressing’ yao. Pasi moja tu inawaacha washambuliaji wote. Pasi nyingine moja inawaacha viungo wote. Bado sijawaelewa! Tunaweza kuwa tunawalaumu mabeki, ila ‘Chemistry’ nzima ya ukabaji wa Chelsea ina matatizo. Kwa hili nipo tayari kukosolewa. Chelsea wana tatizo la kukaba kama timu. Sijui ni hawajamuelewa mwalimu au plan ya mwalimu ndio mbovu.
Marcos Alonso si mzuri wa kupora mipira, si mzuri kwenye ‘one on one’ situation akiwa na mpinzani na si mzuri wa kufanya interceptions. Anawapa mzigo mkubwa sana mabeki wa katikati wanaposhambuliwa. Marcos Alonso unampenda tu wakati anashambulia. Unapotumia mfumo wa mabeki wanne, Alonso hakupi kila unachohitaji kutoka kwa ‘full back’. Ana-fit zaidi kucheza wing back. Kama Lampard anafikiria kuendelea kucheza na ‘four man defender’ nadhani ni muda wa kukubali ile ofa kutoka Inter ya kumuuza Alonso. Chillwell akiwa fit atampa zaidi anachohitaji.
Yule Timo Werner ni mtu sana. Anapokuwa na mpira, anafikiri kitu kimoja tu, kushambulia. Positioning yake ni ya viwango sana. Muda wa kuwa pembeni anakuwa pembeni, muda wa kuwa katikati anakuwa katikati, muda wa kukimbia anakimbia na muda wa kutembea anatembea. Jana amechezeshwa pembeni kisha akachezeshwa mshambuliaji wa pili alipoingia Giroud, na bado alikuwa hatari. Siku Lampard atakapomchagulia jukumu mama. Atatisha zaidi.
Mason Mount ni tunda la uaminifu wa kocha kwake. Amezidi kujiamini, anaielewa mikimbio ya wenzake wanapofika kwenye tatu ya mwisho ya uwanja. Amekuwa mapema sana. Kai Haveirtz anazidi kuzoea. Callum Hudson-Odoi amempa swali gumu sana Lampard jana. Hajajalisha Uwepo wa jina la Ziyech na Pulisic. Amepewa nafasi na ameitumia vema. Kama ataendelea hivi waatakaporejea akina Pulisic, ipo siku Lampard atashindwa kupanga kikosi.
Beti kwa Kitochi Kushinda 300,000,000!
Unajua kuwa unaweza kushinda milioni mia tatu kwa buku tu? Ndiyo! Unaweza kushinda kwa kupiga *149*10# na kubashiri. Ingia mchezoni!
Antony Luseno
Ukimzungumzia fergie ni kocha ambaye alikuwa na falsafa ya kipekee katika mpira
Adelta
Alikuwa na team nzuri
aisha
Alex alikua kocha hodari na mwenye kipaji cha ukocha pongezi sana ferguson kwa kazi nzuri
magdalena
alex alikuwa kocha makini mwenye umahili mzuri katika kufundisha
Khadija
Asante kwa taarifa
Zeiyana
Me naona wachezaji wa Chelsea bado hawajamuelewa kocha
Lydia Emmanuel Magoti
Nikweli kabisa Ferguson nibonge lakocha lakistoria alikuwa anajua nini anafanya ndomana amestafu nakipaji chake namkubali Sana Mzee huyo alikuwa anatikisa Sana babu Farguson
Dorophina
Ferguson yupo sahihi kabisa na kila klabu aliyokuwa akiiongoza lazima wachezaji wawe fiti uwanjani na wanafanya vizuri sana
Elika
Habari njema sana
Mwajumah
Alex alikua ni kocha mzuri sana katika kufundisha kikosi
Janeflora malisa
Vzr sana
Neema
Habari safii sana
Fatina
Achan na uyo mwamb Ni hatar sanaa
Hidaya
Ni mtazamo wake
Shani
Chelsea wazzur sema safu ya ulinz bado ina mapungufu
Angelina
Kocha yuko vizuri
Mwanahamisi
Vizuri sana
Hopemwaikuka
Nmeilewa hii
Fatuma kasomo
Safi yupo vizuri
Povel
Sir Alex ferguson ni mmoja ya makocha Bora ulimwenguni na maneno yake yanaishi mpka leo kwny mchezo wa mpira wa miguu ni kwl kabisa gud defence mataji uhakika na ukiwaha na washambuliah wazuri utapata magoli tu hutowez kwn huku kwn watakufah wanafungah na ww unafungah ila ukiwez kuwah nawalinzi imara wawez kusogeah mbele kufunga na kulinda goli
Gabriel
alex alikuwa kocha makini
lombo
saf
Samira
Tangu aondoke man u haijawahi kupata tena kocha mzuri kama huyu
Amiri Kayera
Ni kwer ni mbin inayofany opponent wako asije gorin kwako
Theonestina
Saf
Issa
Safu ya ulinzi ikiwa imara ndio utakapopata ushindi kwenye mechi ni bora fowad wakawa butu ila mabek imara
Rehema
Safi
Saupha mohamed
Good news
Sabrina
Sr Alex Ferguson ni kocha mankini sn
Theckla
Asante kwa taarifa
Venerose
Habari njema
Nasra
Nice
Rose kapinga
Hatari sanaa
felister
alikua sahihi
Tahiya
hawakukosea kumpa cheo cha Sir Alex Fergason
David Pere
Sir Alex ferguson ni mmoja ya makocha Bora ulimwenguni na maneno yake yanaishi mpka leo kwny mchezo wa mpira wa miguu ni kwl kabisa gud defence mataji uhakika na ukiwaha na washambuliah wazuri utapata magoli tu hutowez kwn huku kwn watakufah wanafungah na ww unafungah ila ukiwez kuwah nawalinzi imara wawez kusogeah mbele kufunga na kulinda goli