Mchezaji kinda wa Tottenham, Dane Scarlett ameingia kwenye rekodi ya kuwa mchezaji mdogo kucheza katika klabu ya Tottenham akiwa na miaka 16 na miezi 8.
Scarlett alitokea benchi katika mchezo wa Ligi ya Europa dhidi ya Ludogorets na kuisaidia timu yake kupata ushindi wa 4-0 na kufuzu katika hatua ya 32 bora.

Wachezaji wengine makinda waliocheza katika mchezo huo ni Tanganga, Harvey White, Alfie Whiteman, na Jack Clarke.
“Na Furaha kwa Vijana hawa, wengi wameonyesha mchezo mzuri leo.
“Nawajua hawa watoto vizuri. Harvey White anafanya mazoezi na kikosi cha kwanza kila siku, kama ilivyo kwa Clarke, dane Scarlett walivyofanya katika pre-season. Tunajua wanachoweza kufanya lakini inatakiwa kuwa katika muda muafaka na leo imekuwa muda sahihi kwao.” alisema kocha Jose Morinho
Hadi 130,000,000 TSH Kutolewa kwa washiriki wa shindano la Playson Cashfall. Unaipata kwenye Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet Pekee. Jisajili sasa, kisha ingia mchezoni kabla ya Novemba 29.



Caroline
Hongera zakee
Fatina mfingi
Safii
Lydia Emmanuel Magoti
Pongez zake
Shakila mrope
Ongera san
Adelta
Inapendeza Sana 👏👏
Tatu
Hongera zake
samiah
Safi
Magdalena
Habari njema
Saupha mohamed
Good
aisha
Pongezi kwake
Dorophina
Dane ni mchezaji mzuri sana alianza kuonyesha kiwango chake tokea alivyoanza kuingia uwanjani
Hopemwaikuka
Hadi raha
Rahma
Hongera zake
Sauda
Safi sana kijana
Sabrina
Kazi nzuri Scarlett
warda
Kweli mdogo sasa kamesoma lini