Scarlett Avunja Rekodi Tottenham.


Mchezaji kinda wa Tottenham, Dane Scarlett ameingia kwenye rekodi ya kuwa mchezaji mdogo kucheza katika klabu ya Tottenham akiwa na miaka 16 na miezi 8.

Scarlett alitokea benchi katika mchezo wa Ligi ya Europa dhidi ya Ludogorets na kuisaidia timu yake kupata ushindi wa 4-0 na kufuzu katika hatua ya 32 bora.

 

Scarlett Avunja Rekodi Tottenham.

Wachezaji wengine makinda waliocheza katika mchezo huo ni Tanganga, Harvey White, Alfie Whiteman, na Jack Clarke.

“Na Furaha kwa Vijana hawa, wengi wameonyesha mchezo mzuri leo.

“Nawajua hawa watoto vizuri. Harvey White anafanya mazoezi na kikosi cha kwanza kila siku, kama ilivyo kwa Clarke, dane Scarlett walivyofanya katika pre-season. Tunajua wanachoweza kufanya lakini inatakiwa kuwa katika muda muafaka na leo imekuwa muda sahihi kwao.” alisema kocha Jose Morinho


USICHELEWE KUKAMATA MKWANJA HUU!

Hadi 130,000,000 TSH Kutolewa kwa washiriki wa shindano la Playson Cashfall. Unaipata kwenye Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet Pekee. Jisajili sasa, kisha ingia mchezoni kabla ya Novemba 29.

Meridianbet Tanzania Casino

SOMA ZAIDI

16 Komentara

    Hongera zakee

    Jibu

    Pongez zake

    Jibu

    Ongera san

    Jibu

    Inapendeza Sana 👏👏

    Jibu

    Hongera zake

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Good

    Jibu

    Pongezi kwake

    Jibu

    Dane ni mchezaji mzuri sana alianza kuonyesha kiwango chake tokea alivyoanza kuingia uwanjani

    Jibu

    Hadi raha

    Jibu

    Hongera zake

    Jibu

    Safi sana kijana

    Jibu

    Kazi nzuri Scarlett

    Jibu

    Kweli mdogo sasa kamesoma lini

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.