Kocha wa Arsenal, Mikel Arteta amekanusha taarifa zinazomuhusiha na kujiunga na Barcelona, huku akisema ana furaha na mwenye bahati kuwepo klabuni hapo.
Arteta ameingia kwenye vichwa vya habari kutua Camp Nou wiki hii, baada ya Joan Laporta anae gombea kiti cha uraisi klabuni hapo kusema atamleta Mikel kama kocha wa timu hiyo kuchukua nafasi ya Ronald Koeman.

Alipoulizwa juu ya jina lake kuhusishwa na kazi ya Barcelona, Arteta alisema: “Siku zote kutakuwa na uvumi wakati kuna uchaguzi huko Barcelona, ni timu kubwa.
“Ni wazi nililelewa huko kama mchezaji na kila wakati kutakuwa na uhusiano. Lakini nimezingatia kabisa kazi ambayo lazima nifanye hapa, ambayo tuna mengi ya kufanya, na ninafurahiya sana.
“Leo na kesho mimi ndiye meneja wa klabu ya soka ya Arsenal na ninaifurahia sana. Na ninataka kufanya vizuri zaidi kuliko yale ambayo tumefanya hadi sasa.
“Ninachoweza kukuambia ninajisikia kuwa na bahati ya kusimamia klabu hii ya mpira wa miguu na kwamba nina furaha kubwa.” aliongeza.
Ni Muda wa Kuvuna Mkwanja na Jungle Jim and the Lost Sphinx
Hauihitaji kufikira mara mbili ni mchezo gani utakupatia mkwanja ndani ya kasino za Meridianbet. Jiunge sasa ufurahie Jungle Jim and the Lost Sphinx.



Angelina
Nice update
Neema juma
Anachosema Mikel Arteta huenda ni kweli kabisaa
Adelta
Yuko sahii
Rahma
Ajakosea
Caroline
Arteta angeenda Arsenal ingependeza
Venerose
Arteta kazi popote hata ukienda sio vibaya
warda
Itafahamika tu
Mwanahamisi
Yupo sahihi
Hopemwaikuka
Mmh
Lydia Emmanuel Magoti
Ngoja tuone
Sarah
Sawa kabisa