Mbappe Amekataa Mkataba Mpya PSG.


 

Kulingana na Cadena SER, Mbappe ameiambia PSG kwamba hataongeza kandarasi yake na anatarajiwa kujiunga na Real Madrid msimu huu wa majira ya joto.

Kinda huyo anayenyatiwa kwa karibu na Real Madrid Kylian Mbappé ameiweka wazi  Paris Saint-Germain kwamba angependa kuachana na klabu hiyo huku tetesi zikisema hiyo inakuja baada ya Raisi wa Madrid, Perez kuzungumza nae kwa njia ya simu.

 

Mbappé atamaliza mkataba mnamo Juni 2022 na amekataa kusaini nyongeza ya mkataba mwingine, licha ya majaribio ya mara kwa mara ya mkurugenzi wa michezo wa PSG Leonardo kutaka kumpa mkataba mapya.

Mbappe anaiongoza PSG katika ligi ya mabingwa msimu huu huku akiwa amefunga magoli 5 katika mechi mbili dhidi ya Barcelona na Bayern Munich, Mchezo wa pili wa marudiano utapigwa jijini Paris.


INAWEZEKANA KUWA MILIONEA BILA KUVUJA JASHO NA KASINO YA ODD ONE OUT.

Odd One Out kutoka Meridianbet ni moja ya kasino maridhawa yenye picha halisi, ambayo inakupa nafasi ya kushinda kadri uwezavyo na kuwa milionea mara baada ya mzunguko kukamilika.

CHEZA HAPA

3 Komentara

    Hatari sana

    Jibu

    Dah

    Jibu

    Jamani kwa nini tena

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.