Nahodha wa timu ya Taifa ya Nigeria Ahmed Musa (28) amerejea kwenye klabu yake ya zamani ya nyumbani Kano Pillars FC hadi mwisho wa msimu huu 2020/2021.

Mshambuliaji huyo wa zamani wa Leicester City hakuwa na timu tangu alipoondoka mwenye klabu ya Al-Nassir ya Saudi Arabia October 2020.

Musa aliwahi kuicheza Kano Pillars FC mwaka 2009.
Kila mtu ana namba zake za bahati, Meridianbet tunatambua namba zinaweza kukufanya milionea leo. Jilipe kwa namba zako za bahati kila baada ya dakika tano.



Adelta
Amefanya Jambo jema
warda
Hongera yake