Ahmed Musa Arejea Kano Pillars

Nahodha wa timu ya Taifa ya Nigeria Ahmed Musa (28) amerejea kwenye klabu yake ya zamani ya nyumbani Kano Pillars FC hadi mwisho wa msimu huu 2020/2021.

Ahmed
Ahmed Musa akiwa Leicester City

Mshambuliaji huyo wa zamani wa Leicester City hakuwa na timu tangu alipoondoka mwenye klabu ya Al-Nassir ya Saudi Arabia October 2020.

Ahmed
Ahmed Musa akiwa Al-Nassir

Musa aliwahi kuicheza Kano Pillars FC mwaka 2009.


JILIPE KWA NAMBA ZAKO ZA BAHATI NA KENO

Kila mtu ana namba zake za bahati, Meridianbet tunatambua namba zinaweza kukufanya milionea leo. Jilipe kwa namba zako za bahati kila baada ya dakika tano.

CHEZA HAPA

2 Komentara

    Amefanya Jambo jema

    Jibu

    Hongera yake

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.