Depay Awaacha Barcelona Kwenye Mataa Akitokea Euro 2020

Unapokuwa umepata kazi sehemu, siku zote inabidi uwaoneshe mabosi wako kwamba wewe ni mstaarabu na utakuwa mwema, lakini haikuwa hivyo kwa Memphis Depay ambaye amesainiwa na Barcelona juzi tu!

Depay alitakiwa kutangazwa rasmi na Barcelona kama usajili rasmi wa klabu hiyo, lakini mchezaji huyo alienda zake likizo moja kwa moja baada ya timu yake ya Uholanzi kuondolewa kwenye 16 bora na Czech Republic.

Depay amesajiliwa na Barcelona akitokea Lille ambapo alidumu kwa miaka 4 toka aondoke United mwaka 2017, ambapo hakuwa na msimu mzuri sana kutokana na kukosolewa kwa kila kitu alichofanya.

Hivi karibuni mchezaji huyo alinukuliwa kueleza kuwa huwa hapendi sana kusemwa kwenye maamuzi yake hususan kwenye masuala ya kwenda likizo au kutumia pesa sana kwani huwa anatumia pesa alizotengeneza mwenyewe kwa jasho lake!


KUSANYA PESA HAPA!

IcyGems kupitia Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet. Ndio, ukiwa kwenye nyumba ya mabingwa, ndipo utakapoufurahia ubora wa Kasino ya Mtandaoni sambamba na kushinda kwa ushindi mkubwa! Ishi na hii, IcyGems!

INGIA MCHEZONI

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.