Rangnick Kudeal na Kiungo Januari, 2022.

Siku zinaendelea kuyoyoma kuelekea dirisha dogo la usajili barani Ulaya. Kocha wa Man United, Ralf Rangnick, atafanya kila awezalo kwenye safu ya kiungo.

Kwa misimu kadhaa sasa, United imekuwa ikisajili wachezaji kwenye safu ya mashambulizi zaidi. Usajili usioendana na uhalisia wa kikosi, umeigharimu United kwa muda mrefu. Safu ya kiungo bado ni eneo dhaifu kwenye timu hiyo.

Katika kutatua tatizo sugu kwenye kikosi cha Manchester United, Rangnick anaripotiwa kuwekeza nguvu kwenye dirisha dogo la usajili. Baadhi ya wachezaji wanatajwa katika mchakato huu.

Dani Olmo

Boubacar Kamara, Amadou Haidara, Dani Olmo na Savic ni miongoni mwa wachezaji wanaohusishwa na United. Ni dhahiri, wachezaji wote hawa wanauwezo mkubwa kwenye safu ya kiungo na sio United pekee itakayokuwa inawatizama, kwa hakika, Januari 1, 2022 kunajambo litatokea.


UWA BINGWA MSIMU HUU WA SIKUKUU NA OCEAN CALL

Nani hapendi kuwa bingwa na kujishindia mkwanja wa kusahato kuelekea katika sikukuu wiki hii. Mchezo wa Ocean Call kutoka kasino maridhawa za meridianbettz unakupa kila sababu ya kuifanya siku kuu yako kuwa ya kuvutia zaidi.

tetesi, Tetesi za Soka Barani Ulaya., Meridianbet

CHEZA HAPA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.