Azam Kukosa Mastaa Wake Dhidi ya Simba SC.

 

Klabu ya Azam imepata pigo kuelekea mchezo wa Ligi kuu ya NBC dhidi ya mabingwa watetezi Simba SC baada ya wachezaji wake watatu kujiunga na timu za taifa kwajili ya mashindano ya AFCON.

 

Nyota wa Azam walioitwa katika timu zao za taifa ni pamoja na Prince Dube aliyepona majeraha ya muda mrefu, Bruce Kangwa na Never Tigere waliojiunga na timu ya Taifa ya Zimbabwe.

“Kukosekana kwa wachezaji hao ni pigo kulingana na mchezo unaotukabili, hii inaweza kutugharimu. Lakini kocha anaangalia namna ya kuwatumia wale waliopo kuweza kufanya vizuri.”alisema msemaji wa Azam, Thabit Zakaria (Zaka za Kazi).

“Kocha anawaamini vijana waliopo na anajaribu kuwatumia na kujipanga na mchezo ujao kwaajili ya kupigani alama tatu.”aliongeza.

Wachezaji wengine watakao kosekana ni pamoja na Idd Seleman ‘Nado’, Ayoub Lyanga na Ivan Mbara kwasababu ya majeraha.


KUWA MILIONEA MSIMU WA SIKUKUU NA SAHARA RICHIES

Unaanzaje siku yako katika msimu huu wa sikukuu, mchongo upo meridianbet kasino. Sloti pendwa ya Sahara Richies inaweza kukufanya ukawa milionea katika kufunga mwaka huu, Jiunge na ufurahie kasino maridhawa kutoka nyumba ya mabingwa.

tetesi, Tetesi za Soka Barani Ulaya., Meridianbet

CHEZA HAPA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.