Frank Lampard Amkingia Kifua Dele Allli

Kocha wa timu ya Everton Frank Lampard amemkingia kifua mchezaji wake mpya baada ya Glenn Hoddle kukosoa mavazi yake kwenye mchezo wa wikiendi alipohudhuria mchezo dhidi ya Brentford.

Alli na Donny van de Beek walitambulishwa kwenye uwanjwa wa nyumbani kwenye kipindi cha kwanza kwenye mchezo wa FA Cup raundi ya nne ambao Everton walishinda kwa goli 4-1 dhidi ya Brentford.

Frank Lampard
Frank Lampard

Mchezaji wa zamani wa Tottenham Hoddle alimkosoa Dele Alli baada kusimama mbele ya umati wa mashabiki wa klabu ya Everton na kusema kuwa allli alikuwa kama mtu aliyeokotwa tu mtaani.

Frank Lampard alipozungumza na waandishi wa habari kabla ya mchezo wao na Newcastle kesho jumanne, alinukuliwa akisema, “sijari gari gani anaendesha, nguo gani anavaa ilimradi naweza kuwa nae kila siku mazoezini, na anahitaji kuwa bora kila siku, anaheshimu klabu na anawaheshimu wachezaji wanzake.

“Mpira wa kisasa umebadilika sana wote tunapaswa kutambua hilo, simjibu mtu kwa sababu ya mtamzamo wake, kila mmoja anaruhusiwa kuwa na mtazamo wake binafsi lakini naweza kupambana na vitu vilivyo mbele yangu.”


KASINO YA MTANDAONI: EMOTICOINS SABABU YA KUVUNA ZAIDI.

Haijawahi kuwa rahisi hivi kwenye safari yako ya kuvuna mkwanja, kasino maridhawa ya meridianbettz inakuletea mchezo wa Emoticoins unaokupa nafasi ya kufanya safari yako kuwa rahisi zaidi. Wakati ni wako nafasi ni yako na Emoticoins.

senegal, Senegal Mabingwa AFCON 2021., Meridianbet

CHEZA HAPA.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.