Jurgen Klopp Anasema "Hana Tatizo" Kukutana Tena Wolves

Liverpool walikuwa na mechi nzuri ya raundi ya nne dhidi ya Wolves kwa kushinda mechi hiyo ya marudianokwa bao 1-0 bao la Liverpool lilifungwa na Elliott dakika ya 13 kipindi cha kwanza. Odds kubwa za soka unazipata Meridianbet.

 

klopp

Liverpool ambao walitoka kufungwa 3-0 na Brighton kwenye uwanja wa Amex kwenye EPL Jumamosi iliyopita hivyo ushindi wa jana usiku ulikuwa na umuhimu mkubwa sana kwa kikosi cha Jurgen Klopp ambacho kimekuwa kikisuasua kupata matokeo.

Klopp alisema: “Hakuna tatizo, tunakuja Wolves tena hivi karibuni pia, huo ni mpira wa miguu Hakuna shida.

 

klopp

“Tulitaka kwenda raundi inayofuata na tulijua Brighton ndiye mpinzani kwa hiyo hakuna tatizo.

“Kazi yangu sio kuwa mdomo mkubwa na kusema, ‘Hapa tunarudi tena’.

“Tunaenda huko baada ya wiki moja na nusu na tunajaribu kucheza vizuri zaidi kuliko mara ya mwisho.”-Klopp

Darwin Nunez, ambaye alikosa mechi ya ligi kutokana na majeraha, atarejea mazoezini leo au kesho kujiunga na wenzake huko Anfield. Ukiwa na meridianbet unaweza kubashiri mubashara, tembelea maduka ya meridianbet uweze kubashiri.

 

Elliott

Liverpool itacheza na Chelsea Jumamosi na kisha kuwa na wiki safi kabla ya mechi ya kombe la FA itakayomrudisha Liverpoolhuko Wolves Februari 4, 2023. Beti na Meridianbet mechi za ligi zote, odds ni kubwa sana, Usikose hii!!.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.